mzeewakungoa
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 4,969
- 13,919
Na hio combination ni hatari... Mzigua +mchaga.Mzigua+mchaga mkuu. Karibu Handeni. Unataka kunibambiakka ugeni mkuu ndo maana nikatokwa povu.
Mimi sina uenyeji napo kabisa. Wenyeji wangu ni korogwe na Tanga baasi. Handeni hata sijawahi kwenda japo ni kwetu.Mi Handeni mwenyeji kiasi... Huwa nakuja mara kwa mara.
Hatari lakini salama.Na hio combination ni hatari... Mzigua +mchaga.
Tatizo unatupenda mimi na Kaboom kweli sehemu moja bora tungekuwa ni watu tuliokutana njianiSasa mi nawapenda wote na moyo umeshindwa kuchagua. Vumilieni tu.
Japokuwa ni kweli lakini inashangazaMimi sina uenyeji napo kabisa. Wenyeji wangu ni korogwe na Tanga baasi. Handeni hata sijawahi kwenda japo ni kwetu.
Mpaka ukaenda kujikunyata kwenye kona ya kitanda ati hutaki tena unahitaji kupumua kwanza... Hahaha... super dear... Am Glad its you who got tired and not me...Khakhaakhaaaaa dozi ya jana ni hatareeeeeeeeeeeeeeee
Alinipa akanipa tena akanipa akanipa tena akanipa akaniongeza mpaka nikawa hoooiii bin taabani haha
Smart911 kiboko yaooooooooo
Tanga.Hatari lakini salama.
And i love you more my lady...
Imefanyaje mkuu?Tanga.
Tanga Unakalia wapi mkuu... Nina ndugu zangu wengi huko.Mimi sina uenyeji napo kabisa. Wenyeji wangu ni korogwe na Tanga baasi. Handeni hata sijawahi kwenda japo ni kwetu.
Nakaa chumbageni Mkuu. Karibu siku moja japo niko jiji la Daud kimaisha sasa hivi.Tanga Unakalia wapi mkuu... Nina ndugu zangu wengi huko.
Sjakuelewa,, mamaako kvpNingekujia sema huo umri umepishana kidogo sana na mama angu.
Umri wako mkuu. Naogopa ntakua nakuona kama mzazi wangu.Sjakuelewa,, mamaako kvp