mzeewakungoa
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 4,969
- 13,919
Si hio ya kwako... Unaionaje?ID ya nani tena mkuu?
Kwa macho mkuu au we umeionaje? Au unahisi ni ID mpya ya nani hii nikusaisie kuireport kwa modsSi hio ya kwako... Unaionaje?
Ha ha ha ha ha ha.... Nimekukumbusha eeh?Smart911 mylove it's night already
I feel sleeping love can you come to bed swirly???
Mimi ni shuhuda wa haya uyasemayo Mkuu......[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mwenyewe mwanzoni sikumwamini sana huyu ila kwa sasa nimeshamzoea na kuona kweli nimepata mke mwema.!
Halafu kuna watu ukiwaona humu jukwaani halafu ukaja kuonana nao live ni tofauti kabisa na zile story za pumba wanazokoment.
Kuna wengi huingia Jf ili kuondoa stress mimi pia ni mmoja wao lakini tukikutana live utashangaa.!
Ndivyo ilivyotokea kwa mimi na huyu member mwezetu (shemeji/wifi yenu)
Ha ha ha ha ha... Wacha kutoa povu... Kama ni mzigua kweli basi ujue mimi ni shemeji yako... Kakaangu ameoa mzigua.Kwa macho mkuu au we umeionaje? Au unahisi ni ID mpya ya nani hii nikusaisie kuireport kwa mods
Kuviruhusu vibinti kukusogelea shida saana. Acha kunifuatilia tulia na jamaa kama yupo real. Yalisha pita focus ya sasa.
Buy, sitegemei unifuatilie tehna wala sitakujibu tena. Naheshimu watu humu.
Mzigua+mchaga mkuu. Karibu Handeni. Unataka kunibambiakka ugeni mkuu ndo maana nikatokwa povu.Ha ha ha ha ha... Wacha kutoa povu... Kama ni mzigua kweli basi ujue mimi ni shemeji yako... Kakaangu ameoa mzigua.
Poa mkuu BAK kwemaNi aje hapa Mkuu!? [emoji15][emoji15][emoji15]
Mbona nyie mnakuaga na sisi hata watano? Nyie mpo wawili tu unalalamika.Wote wawili kweli! Huo ni uhujumu wanaume
Nyie mpo wengiMbona nyie mnakuaga na sisi hata watano? Nyie mpo wawili tu unalalamika.
Sasa mi nawapenda wote na moyo umeshindwa kuchagua. Vumilieni tu.Nyie mpo wengi
Mi Handeni mwenyeji kiasi... Huwa nakuja mara kwa mara.Mzigua+mchaga mkuu. Karibu Handeni. Unataka kunibambiakka ugeni mkuu ndo maana nikatokwa povu.
Hold on.Lol. Kumbe alikua anakusema wewe? Huku napo kuna kapo na mitongozo ya ukweli kumbe?