hahahaaa mkuu bora umentonya ilikuwa nimtumie Kontena ya 40ft ya kondomIsiwe condom ameoa
Hongera sana arifu!! lakini just kwa ushauri, JITAHIDI KUPUNGUZA MATUSI HILO TU!! na huu ndio ushauri wangu kwako! kila heri katika sikukuu yako ya kuzaliwa...peace!!Hakika Sina Cha Kumlipa Mwenyezi Mungu Zaidi Ya Kumwambia AKHSANTE Kwa Kunipa Miaka Yangu Hii Niliyonayo Huku Nikiwa Nipo Salama Kabisa Na Sina Tatizo Lolote Lile.
Akhsante Mwenyezi Mungu, Wazazi, Walimu / Wahadhiri Marafiki Zangu Wote Waliokuwa Na Msaada Mkubwa Mno Kwangu Hakika Bila Jitihada Zenu Leo Nisingekuwa GENTAMYCINE Huyu. Salute Kwenu Amen / Inshaallah.
Uwiiiiiiii nimeshakuwish sehemu,pia nilitaka nifanye kitu kwa ajili yako ila sio mbaya.
Happy birthday rafiki yangu kipenzi GENTAMYCINE.
Mungu akupe maisha marefu uzidi kutuvunja mbavu,kwani umekuwa ukiniongezea siku kwa ucheshi wako.
Kila la kheri.....
Heri ya siku yako ya kuzaliwa
Heri ya pasaka.
Ndugu....Happy birthday gentmycine baba!mwenyezi mungu akupe umri zaidi na maisha yenye furaha na mafanikio.
Kabisa,mnyonge tumnyonge lakini tumpe haki yake.Happy b day wewe ni mmoja wapo wanaofanya jf kuwa sehemu ya furaha na watu kutolea mawazo
Happy b day wewe ni mmoja wapo wanaofanya jf kuwa sehemu ya furaha na watu kutolea mawazo
Ndugu....
Najua atakuvumilia sababu tu ni umemtakia khery ya kuzaliwa.
Lakini tofauti na hapo 'ungeyakoga' kwa jinsi ulivyoikosea hiyo ID ya Mathematician GENTAMYCINE
Kabisa,mnyonge tumnyonge lakini tumpe haki yake.
Mungu ampe maisha marefu na afya njema.
Ni Maadui TULIOTUKUKA.
Ukishindwa kumkubali huyu kiumbe GENTAMYCINE utakuwa hauko sawa!!
Ni moja sifa kuu na ya kipekee kwa ndugu huyu ni kutokuwa na mihemko ya ovyo ovyo! GENTA ni mtu ambaye laiti kama kungekuwa na kitufe cha DISLIKE basi yeye ndio angeongoza kwa kuwa na dislike nyingi, ila huyu mwamba kamwe hatumii lugha mbovu na katika kujibishana na wadau haumu! Eventually, GENTAMYCINE ame-win mioyo ya wengi wetuπ
Humble
Calm
Sensible in insensible way
Sane in insanity way
Genial
Gentle in gentleman's way
POPO in POPOMA'S WAYπ±
Eventually jamaa anatake off na kuwa kipenzi cha wengi JF.
Anyways! HAPPY BIRTHDAY BRO! may you live to blow hundred candles (ila nawaza ukiwa na miaka 70+ level yako ya upopoma itakuwa ni goldπ, just thinking! Dont take it serious)
Enjoy!
Jitahidi kuandika kwa staili hii bila kutumia neno "tukuka" Ukifanya hivyo nitafurahi sana and btw, hb.Hakika Sina Cha Kumlipa Mwenyezi Mungu Zaidi Ya Kumwambia AKHSANTE Kwa Kunipa Miaka Yangu Hii Niliyonayo Huku Nikiwa Nipo Salama Kabisa Na Sina Tatizo Lolote Lile.
Pia Napenda Kuchukuwa Nafasi Hii Kuwafahamisheni Members Kuwa Leo Tarehe 27, March Ni Birthday Yangu Ila Nisingependa Ipite Hivi Hivi Kama Nisingesema Kuwa Katika Moja Ya Furaha Zangu Na Maarifa Yangu Nimetoa Humu Kwenu JF Members Na Kusema Ukweli Huwa Nawafurahia Mno.
Napenda Pia Kuchukua Fursa Hii Murua Kuomba Radhi Kwa Wale Wote Ambao Kwa Namna Moja au Nyingine Niliwakwaza Na Sasa Naomba Tuanze Upya.
Nawapendeni Nyote Na Mwenyezi Mungu Awabariki Nanyi Pia Na Waanzilishi Wa Mtandao Huu Mzuri Na Muhimu Wa Jamii Forums Bila Kuwasahau Na Moderators Wote Kwa Kazi Yao Nzito Ya Kuhakikisha Mambo Yanaenda Vizuri Huku Wakitukong'oli BAN Za Kufa Mtu.
Akhsante Mwenyezi Mungu, Wazazi, Walimu / Wahadhiri Marafiki Zangu Wote Waliokuwa Na Msaada Mkubwa Mno Kwangu Hakika Bila Jitihada Zenu Leo Nisingekuwa GENTAMYCINE Huyu. Salute Kwenu Amen / Inshaallah.