sawa Dr hapo kwenye 32 M za hesbl bado unadaiwa ngapi??
View attachment 3053078
Gono hiloo!Dactar..
Nikikoja huku panauma...
Kama panawaka 🔥 🔥 🔥
HahahaMkuu hap ni siri yangu ya ndani
Wewe utakuwa daktari mjinga. Kwanini unaangalia interest zako na si interest za nchi na Wananchi? Mitano Tena kwa tumbo lako.Wanaosema mi5 tena wanamaanisha.
Katika kipndi cha miaka minne nimepanda cheo mara mbili, nimefikia pale nilipo dream go years back Na sasa napata mshahara wa daktari Bingwa. Asante Mama samia. Huna baya
Wewe ni jinga kweli kweli na mitano Tena yako na jimama lakoWanaosema mi5 tena wanamaanisha.
Katika kipndi cha miaka minne nimepanda cheo mara mbili, nimefikia pale nilipo dream go years back Na sasa napata mshahara wa daktari Bingwa. Asante Mama samia. Huna baya
Daktari,, kasoma sayansi.Duh!
Kama wewe ni Daktari sisi kama nchi tuna kazi kubwa sana kutoka kwenye nchi zinazoendelea na kuwa nchi ya uchumi wa kati/ iliyoendelea.
Duh!Wanaosema mi5 tena wanamaanisha.
Katika kipndi cha miaka minne nimepanda cheo mara mbili, nimefikia pale nilipo dream go years back Na sasa napata mshahara wa daktari Bingwa. Asante Mama samia. Huna baya
Acha ujinga , bado elim yako haikusadiiWanaosema mi5 tena wanamaanisha.
Katika kipndi cha miaka minne nimepanda cheo mara mbili, nimefikia pale nilipo dream go years back Na sasa napata mshahara wa daktari Bingwa. Asante Mama samia. Huna baya
Usome wewe kwa juhudi zako, na upande cheo kwa juhudi zako. Halafu unamshukuru Mama Samia? Strange!Wanaosema mi5 tena wanamaanisha.
Katika kipndi cha miaka minne nimepanda cheo mara mbili, nimefikia pale nilipo dream go years back Na sasa napata mshahara wa daktari Bingwa. Asante Mama samia. Huna baya
Huyu ni Daktari hopeless kabisa😀Daktari,, kasoma sayansi.
Hajui kuongea kama team HKL 🤣🤣
Hata hivyo kazini alikuwa na bidding kubwa mpaka akapandisha mshahara, mi5 kwa mama huko aliko na watendaji wakeKabisa kwa bidding kubwa.
🤣🤣Kabisa kwa bidding kubwa.