Pre GE2025 Namshukuru Rais Samia napata mshahara ninaostahili kama Bingwa katika fani yangu

Pre GE2025 Namshukuru Rais Samia napata mshahara ninaostahili kama Bingwa katika fani yangu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wanaosema mi5 tena wanamaanisha.

Katika kipndi cha miaka minne nimepanda cheo mara mbili, nimefikia pale nilipo dream go years back Na sasa napata mshahara wa daktari Bingwa. Asante Mama samia. Huna baya
Daktari Bingwa au Chawa Bingwa?
 
Halafu huu mwaka mbona watu wanashukuru kimafungu walianza walimu na Sasa hivi watumishi wa afya wanajimwambafai kwa kupewa malundo sisi makatibu kata ndio tumepigwa.
Kamba yenu itakuwa fupi
 
Wewe hupati mianya ya kula kwa urefu wa kamba yako . Unajifariji tu hapa .

Tunaokula kwa urefu wa kamba zetu tunakunja zaidi ya millioni 100 kwa mwezi .
 
Wanaosema mi5 tena wanamaanisha.

Katika kipndi cha miaka minne nimepanda cheo mara mbili, nimefikia pale nilipo dream go years back Na sasa napata mshahara wa daktari Bingwa. Asante Mama samia. Huna baya
😂
 
Naona picha mbeleni kwamba watumishi wa umma tukifanyakazi kwa bidding kubwa
Sawa wewe ni daktari bingwa!!!!!!!
Labda ungeleta numbers (Quantitatively); na utafiti kinadharia (quaalitatively) uwe na evidence kuwa madaktari bingwa au mabingwa wengine wamepewa hivyo vyeo na vipato, au tu ni nepotism na DEI
 
Wanaosema mi5 tena wanamaanisha.

Katika kipndi cha miaka minne nimepanda cheo mara mbili, nimefikia pale nilipo dream go years back Na sasa napata mshahara wa daktari Bingwa. Asante Mama samia. Huna baya
Hakuna mtu mwenye akili akalipwa 5m akapoteza muda kuja hapo kupost upuuzi

Hizo ni hela ndogo sana dogo huna exposure tu,
 
Wanaosema mi5 tena wanamaanisha.

Katika kipndi cha miaka minne nimepanda cheo mara mbili, nimefikia pale nilipo dream go years back Na sasa napata mshahara wa daktari Bingwa. Asante Mama samia. Huna baya
Hata mimi namkubari sana sijui kwanini?
 
Wanaosema mi5 tena wanamaanisha.

Katika kipndi cha miaka minne nimepanda cheo mara mbili, nimefikia pale nilipo dream go years back Na sasa napata mshahara wa daktari Bingwa. Asante Mama samia. Huna baya
Housegirl ushampa nauli aondoke? Au ndiyo kujiliwaza huku

 
Sasa hilo n kisonono sugu, paka pilipili kichaa hapo kwenye kichwa
Ahahahaa mkuu mda wa kukojoa .. nakojoa mikojo hatua tatu..
1-mkojo normali (hakuna maumivu)

2- mkojo mzito uji hvi( maumivu yake huwa nalia kwa kawaida)


3- hii nakojoa lava mkojo wa moto alafu kama una pili pili ya kukwangua ( hii hiwa na maumivu mpaka napiga kelele maana ukijikaza usilie ni kama maumivu yanaongezeka)
 
Ahahahaa mkuu mda wa kukojoa .. nakojoa mikojo hatua tatu..
1-mkojo normali (hakuna maumivu)

2- mkojo mzito uji hvi( maumivu yake huwa nalia kwa kawaida)


3- hii nakojoa lava mkojo wa moto alafu kama una pili pili ya kukwangua ( hii hiwa na maumivu mpaka napiga kelele maana ukijikaza usilie ni kama maumivu yanaongezeka)
Ndio ukubwa huo mkuu
 
Wanaosema mi5 tena wanamaanisha.

Katika kipndi cha miaka minne nimepanda cheo mara mbili, nimefikia pale nilipo dream go years back Na sasa napata mshahara wa daktari Bingwa. Asante Mama samia. Huna baya

Huu ndo uandishi wa daktari Bingwa? Dunia ngumu hii!
 
Wanaosema mi5 tena wanamaanisha.

Katika kipndi cha miaka minne nimepanda cheo mara mbili, nimefikia pale nilipo dream go years back Na sasa napata mshahara wa daktari Bingwa. Asante Mama samia. Huna baya
Hongera dr... Japo kuna watanzania wenye hasira kali watakakuja kukusema na wengine watalalamika wanamaisha magumu
 
Back
Top Bottom