Namsikitikia mama Samia, kumbe amezungukwa na viongozi wanaomdharau na kumtukana!

Namsikitikia mama Samia, kumbe amezungukwa na viongozi wanaomdharau na kumtukana!

Zanzibar-ASP

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2013
Posts
11,550
Reaction score
40,697
Mama yetu hajui ashike lipi na aache lipi, kila kona wamejaa machawa, ambao wako kumtumia tu, wakiwa gizani wanamdharau, wanamtukana, kumhujumu na kumchafua.
Kwa sasa hajui nani ni rafiki na nani ni adui, ni vurugu tupu. Mama Samia pamoja na kuwapa vyeo vya dezo bado watu wale wamekosa shukrani, wanamnanga balaa.

Sasa wameanza kuumbuana, kutajana na kuchomeana utambi, muda sio mrefu huenda wakaanza kuangamizana.

Wenye hekima, mapema sana tulimwambia mama afanye haya kabla mabaya hayajamkuta:
1. Awape watanzania katiba mpya (Hatajuta milele)
2. Ateuwe watu wapya, makini na wasafi (Watamsaidia sana)
3. Aache kabisa kukumbatia makupe, chawa na waovu (Hao watu ni sumu)
4. Asikilize sana watanzania wanasema nini (hasa walalahoi, wapinzani, taasisi za kiraia nk)
5. Asikubali kutishwa na kubabaishwa na makada wa CCM (Yeye ni rais kamili, hakuna mwenye nguvu au mamlaka ya
kuingilia maamuzi yake kikatiba)

Mama yetu akashupaza shingo, ngoma sasa imewamba, inataka kupasuka.

Muda bado upo, nafasi ya kurekebisha bado anayo, watanzania wazalendo wakumuunga mkono tupo ikiwa atabadilika.

Pole mama Samia!
 
Yule ni Rais Acha kumwita Mama.

MAMA YAKO HUMJUI.?

PambanaZaidi/CottonandMore
 
Mama yetu hajui ashike lipi na aache lipi, kila kona wamejaa machawa, ambao wako kumtumia tu, wakiwa gizani wanamdharau, wanamtukana, kumhujumu na kumchafua.
Kwa sasa hajui nani ni rafiki na nani ni adui, ni vurugu tupu. Mama Samia pamoja na kuwapa vyeo vya dezo bado watu wale wamekosa shukrani, wanamnanga balaa.

Sasa wameanza kuumbuana, kutajana na kuchomeana utambi, muda sio mrefu huenda wakaanza kuangamizana.

Wenye hekima, mapema sana tulimwambia mama afanye haya kabla mabaya hayajamkuta:
1. Awape watanzania katiba mpya (Hatajuta milele)
2. Ateuwe watu wapya, makini na wasafi (Watamsaidia sana)
3. Aache kabisa kukumbatia makupe, chawa na waovu (Hao watu ni sumu)
4. Asikilize sana watanzania wanasema nini (hasa walalahoi, wapinzani, taasisi za kiraia nk)
5. Asikubali kutishwa na kubabaishwa na makada wa CCM (Yeye ni rais kamili, hakuna mwenye nguvu au mamlaka ya
kuingilia maamuzi yake kikatiba)

Mama yetu akashupaza shingo, ngoma sasa imewamba, inataka kupasuka.

Muda bado upo, nafasi ya kurekebisha bado anayo, watanzania wazalendo wakumuunga mkono tupo ikiwa atabadilika.

Pole mama Samia!
[After ignition of false infliction, sasa mnaona ni wakati muafaka wa kuchomekea mambo yenu]
Form ni moja tu ya urais 2025
To be noted!
Elimu itolewe zaidi juu ya katiba, kwa kuisoma vizuri hii iliyopo na kuielewa vyema,kabla ya kuchukuwa maamuzi sahihi.
 
Chama Cha mapinduzi kinachoogopa mapinduzi...
Mapinduzi yanaongozwa na mwanamke wanaume wakonyuma kaziyao kusifuu🤣🤣
Chama kinamsifu kiongo z kilasiku kuwa kafanya makubwa mmno LAKINI kinaogopa mtu mwingine asichukue fomu kugombea nae🤣🤣🤣
Nchi yenye ujinga ujinga...
 
watanzania wazalendo wakumuunga mkono tupo ikiwa atabadilika.
Na wewe unajipigia debe, uzalendo, uzalendo gani kama sio njaa tu, imetawala kwenye ufahamu wako.

Kama umeamua kukosoa, kosoa lakini usianze kujipigia promo ambazo hazina kichwa wala miguu. Hata Raisi unayemuona Uraisi ulimfwata sio kwamba alijikomba au kujipigia promo kama wewe unavyofanya hapa jukwaani.​
 
Back
Top Bottom