Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
i send this speacially for you cute and sweet paxie..
A life is changed in just an instant's time,
All darkness fled before that brillaint sun That shines
from spoken words of softest rhyme And speaks of treasures, only just begun.
mmmmh. nahisi kushawishika vile.. Ribosome wewe haupo interested au sio mwanaume timilifu?
Basi achana na Bishanga, kwanza anaweza ku-brain konkesheni bure akiwa juu ya kifua,, Babu wa watu...
Nimeenda park leo baada ya kutoroka kazini na kukuta vi baby vizuri kweli. Nikavitamani na nikaona why not na mimi nizae na niitwe mama. Uwezo wa kulea ninao na niya pia ninayo.
Nataka viwe vi mapacha. Baada ya kwenda home na kumuangalia boyfie nimeona ana mapungufu, anafaa
kuwa baba, ila sio kuni mimba.
Kuna utafiti uliopostiwa na Dr. MziziMkavu ulionesha sifa za mtoto hutegemea sifa wazazi pia.
Tumekubaliana na boyfie nitafute huyo mwanaume na nijipatishe mimba. Baada ya hapo mimi na yeye tutaendelea na mahusiano, vikinoga vya baba na mama kama vilivo noga vya u boyfie na u galfrend tutafunga ndoa.
Natafuta mwanaume mwenye sifa zote ambao ziwe kwa watotot wangu hao. Huyo mwanaume awe na sifa zifuatazo
Awe mzuri kama kirusha roho changu Ndahani, Charming na lovable kama klorokwini, wawe wanapendwa na opposite sex kama babu Asprin, awe na bahati na pesa kama Bishanga, awe na akili kama Mzee Mwanakijiji, Msiri kama The Boss, ana mvuto kwa jinsia zote kama Kaunga, Mkali kama Invisible, Caring kama Rejao, Mjanja kama Boflo, magnetically Irresistible kama Nyani Ngabu, sauti nzuri na sexy kama fazaa, wa ukweli kama EMT, hasomeki hadi aamue kama Kongosho, creative kama TANMO, macho mazuri kama Erickb52, mpole kama BAK na mwenye busara kama babu Dark City. Awe na bahati kama Mwali.
Kama una hizo sifa niambie.. nitaku pm mwenyewe baada ya kuona kweli nimepata baba watoto wangu.
Mwaaaaaaah. :baby:
Nimekuelewa kabisa Eros...unajua mbio za masafa marefu zinataka strategy. Ukianza kama unakimbilia chooni 2 metres away lazima mambo yatakushinda. Msindi wa mbio zile ni yule atakayemudu wenzake wooote mpaka dakika ya mwisho. Mwanzo wake si unajua kunakuwa hakuna running trucks
Hahaha hahah hahah, Erotica mmzoee tu huto darling wangu Rejao yeye na klorokwini wanajua hao!Acha kuniongopea mbona sijawahi kuona Cantalisia akikuponda?