Namtafuta baba watoto wangu. Donge nono & SEXY digits Litatolewa!!!

Namtafuta baba watoto wangu. Donge nono & SEXY digits Litatolewa!!!

Njoo kwangu nikupekitu ili huyo mtoto arithi akili zangu tu, ujanja, hekima, ucheshi, vurugu n.k atarithi kwa hao akna Rejao, Mzee mwanakijiji na wengineo maana najua urithi mzuri ni wa akili tu. Sasa mbona wewe hujasema watoto watarithi nini kutoka kwako. Nina wasi wasi kama mtoto/watoto wakizaliwa wa kike wanaweza kurithi hiyo tabia yako ya kutaka kuzalishwa nje lol!!. Ila tutasali na kuomba sana wasichukue tabia hiyo kutoka kwako au unasemaje Erotica?
 
i send this speacially for you cute and sweet paxie..

A life is changed in just an instant's time,
All darkness fled before that brillaint sun That shines
from spoken words of softest rhyme And speaks of treasures, only just begun.

I have a hope darl... a glimmer, a light in the distance, like a house calling you home.
I love you like medicine to a wounded soul...
 
Yupo mmoja tu mwenye hizo sifa, ila bahati mbaya yuko jela, msubili kidogo tu. TUNTEMEKE
 
Erotica mbona umeminya swali langu bana!? LOL!...Yule aliyeumia nanihii kwanini hutaki awe Baba watoto wako!? hapigi mashuti makali makali au anapiga mipira iliyopoa kiasi ambacho golikipa anaidaka kirahisi!? Usiniminyie swali langu banaaa!!!!

 
Last edited by a moderator:
This is REAL world,ie the world of adventure,experience and guilty.You dont therefore qualify to dwell in this world since you claim to be the beautiful one. IDEAL world,the world of fullfilment,innocence and plenitude which seduces our fantasies is that which you claim to deserve despite its unrealistic existence.
 
Basi achana na Bishanga, kwanza anaweza ku-brain konkesheni bure akiwa juu ya kifua,, Babu wa watu...

Mnanisengenya eh? Kwa taarifa yenu bishanga niko fom fo azania.
Halafu we erotica wewe ushawahi kupigwa KT?
 
Nimeenda park leo baada ya kutoroka kazini na kukuta vi baby vizuri kweli. Nikavitamani na nikaona why not na mimi nizae na niitwe mama. Uwezo wa kulea ninao na niya pia ninayo.

Nataka viwe vi mapacha. Baada ya kwenda home na kumuangalia boyfie nimeona ana mapungufu, anafaa
kuwa baba, ila sio kuni mimba.

Kuna utafiti uliopostiwa na Dr. MziziMkavu ulionesha sifa za mtoto hutegemea sifa wazazi pia.
Tumekubaliana na boyfie nitafute huyo mwanaume na nijipatishe mimba. Baada ya hapo mimi na yeye tutaendelea na mahusiano, vikinoga vya baba na mama kama vilivo noga vya u boyfie na u galfrend tutafunga ndoa.

Natafuta mwanaume mwenye sifa zote ambao ziwe kwa watotot wangu hao. Huyo mwanaume awe na sifa zifuatazo…

Awe mzuri kama kirusha roho changu Ndahani, Charming na lovable kama klorokwini, wawe wanapendwa na opposite sex kama babu Asprin, awe na bahati na pesa kama Bishanga, awe na akili kama Mzee Mwanakijiji, Msiri kama The Boss, ana mvuto kwa jinsia zote kama Kaunga, Mkali kama Invisible, Caring kama Rejao, Mjanja kama Boflo, magnetically Irresistible kama Nyani Ngabu, sauti nzuri na sexy kama fazaa, wa ukweli kama EMT, hasomeki hadi aamue kama Kongosho, creative kama TANMO, macho mazuri kama Erickb52, mpole kama BAK na mwenye busara kama babu Dark City. Awe na bahati kama Mwali.

Kama una hizo sifa niambie.. nitaku pm mwenyewe baada ya kuona kweli nimepata baba watoto wangu.


Mwaaaaaaah. :baby:

mwenyewe kwana hata asilimia 0.5 ya sifa ulizozitaja huna, unataka wa ukweli? hamuendani
 
Erotica taratibu mama yaani nimeangalia hiyo List ya hao unaotamani wawe baba Chanja wangu yuko hapo
Naona dalili za kupokonywa tonge mdomoni Kaunga naomba mwambie Erotica speed zake mama..zinatisha..
Ni juu ya nini kutesana kihisia mapema hii...
 
Last edited by a moderator:
Nimekuelewa kabisa Eros...unajua mbio za masafa marefu zinataka strategy. Ukianza kama unakimbilia chooni 2 metres away lazima mambo yatakushinda. Msindi wa mbio zile ni yule atakayemudu wenzake wooote mpaka dakika ya mwisho. Mwanzo wake si unajua kunakuwa hakuna running trucks

Ndahani kirusha roho kama unaelewa yote haya si ndio nipe maujanja?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom