Namtafuta baba watoto wangu. Donge nono & SEXY digits Litatolewa!!!

Namtafuta baba watoto wangu. Donge nono & SEXY digits Litatolewa!!!

Ndahani kirusha roho kama unaelewa yote haya si ndio nipe maujanja?

Mbona wewe umenizidi ujanja tena kwa mbaali kabisa...mi mwendo wa kinyonga ntaweza hizo speed za wakimbia marathon kama wewe? Mzima lakini? Hujaota tena ile ndoto ambayo ulikuwa una cheat?
 
Njoo kwangu nikupekitu ili huyo mtoto arithi akili zangu tu, ujanja, hekima, ucheshi, vurugu n.k atarithi kwa hao akna Rejao, Mzee mwanakijiji na wengineo maana najua urithi mzuri ni wa akili tu. Sasa mbona wewe hujasema watoto watarithi nini kutoka kwako. Nina wasi wasi kama mtoto/watoto wakizaliwa wa kike wanaweza kurithi hiyo tabia yako ya kutaka kuzalishwa nje lol!!. Ila tutasali na kuomba sana wasichukue tabia hiyo kutoka kwako au unasemaje Erotica?


majorbuyoya Me i like you, you are notty. I love notty.
 
Last edited by a moderator:
I have a hope darl... a glimmer, a light in the distance, like a house calling you home.
I love you like medicine to a wounded soul...

Paxman i can not take it any mo' leo we are spending

the nyte together you give me these lines live 😛hoto:
 
Last edited by a moderator:
Erotica mbona umeminya swali langu bana!? LOL!...Yule aliyeumia nanihii kwanini hutaki awe Baba watoto wako!? hapigi mashuti makali makali au anapiga mipira iliyopoa kiasi ambacho golikipa anaidaka kirahisi!? Usiniminyie swali langu banaaa!!!!

BAK Boyfie nilimchagua kwa vigezo viwili. kwanza he can do it na pili muelewa.

there is mo to life than sex, nje ya sex yeye ni useless kabisa. sitaki wanangu wawe usless waweze tu sex.
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Mnanisengenya eh? Kwa taarifa yenu bishanga niko fom fo azania.
Halafu we erotica wewe ushawahi kupigwa KT?

Umenikumbusha yule Babu wa Kenya aliyeamua kupiga shule akiwa kwenye nainte.. Na wewe umeamua kufuata nyayo siyo? Bravo..
 
Erotica taratibu mama yaani nimeangalia hiyo List ya hao unaotamani wawe baba Chanja wangu yuko hapo
Naona dalili za kupokonywa tonge mdomoni Kaunga naomba mwambie Erotica speed zake mama..zinatisha..
Ni juu ya nini kutesana kihisia mapema hii...

FirstLady1 watarudi in one pic, mie nahitaji mbegu tu.

of coz ikiambatana na starehe wakati wa kupandikiza. 😛oa

Alafu Ndahani kakugongea like, ndie yeye? say no. utaniumiza mamito.
 
Last edited by a moderator:
BAK Boyfie nilimchagua kwa vigezo viwili. kwanza he can do it na pili muelewa.

there is mo to life than sex, nje ya sex yeye ni useless kabisa. sitaki wanangu wawe usless waweze tu sex.

Una vituko wewe...how did you the second before first...ulianza kwanza kazi bila kupata assessment ya nje yukoje?
 
Mbona wewe umenizidi ujanja tena kwa mbaali kabisa...mi mwendo wa kinyonga ntaweza hizo speed za wakimbia marathon kama wewe? Mzima lakini? Hujaota tena ile ndoto ambayo ulikuwa una cheat?
Ndahani umeona sasa ukweli ulivojitenga. wewe nipo kasi wewe mwendo wa

kinyonga. a perfect fit. Na hivi umeniuliza afya yangu roho imeongezeka kasi ya boom boom boom.

na toka uanze kunirusha roho ndoto zimeacha. ni wewe tu nakuona nikisinzia.
 
Last edited by a moderator:
Una vituko wewe...how did you the second before first...ulianza kwanza kazi bila kupata assessment ya nje yukoje?


Hio ni product ya one nyt stand. huna haja ya kujua mengine zaidi ya he can do it. tukanogewa.
 
Ndahani umeona sasa ukweli ulivojitenga. wewe nipo kasi wewe mwendo wa

kinyonga. a perfect fit. Na hivi umeniuliza afya yangu roho imeongezeka kasi ya boom boom boom.

na toka uanze kunirusha roho ndoto zimeacha. ni wewe tu nakuona nikisinzia.

Ushwahi kusikia mtu anauziwa mbuzi kwa kusikiliza mlio? Yaani sura yangu hata hujawahi iona unasema unaniota....unaniotaje sasa? Yule aliyekuwa anakunyemelea labda ulishakutana naye sehemu ukamfurahia...tatizo hukumtaarifu BF wako..akawa anakuja bila kumtaarifu
 
Back
Top Bottom