Hello nina omba unipe nafasi, naamini vigezo hivyo ulivyoweka vyote napangua na nina extra ya hivyo.
I think it is the only chance I had been waiting for from you.....
P/S: Think twice b4 you count on others! me loviiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii u exquisitely Erotica aaah...!
we unajuaje ka hao uliowataja wana hizo sifa...
Nimepata kama wawili hivi mmoja wao Kiranga, ila ananiletea pozi, sijui ndio
kusema kaniona beneath him? teh teh teh. Ikishindikana kabisa nakuja kwako tutengeneze hio cocktail.
Kiranga kuna tofauti kati ya kula kila kitu na kukagua kila kitu.
hata hivo i have the right ingredients, kitu chenye sumu automatikali kina pungua
makali kifikapo kwangu, hakiwi sumu tena, kinakuwa dawa. try me...........
Kila la heri. Mie nina mipango ya kuwa monk nipande milima ya Himalaya kama Wilfred Moshi, nikatafsiri Dhammapada na majuzuu mengine kwenda Kiswahili bila wazo la familia.
Samahani sijakuwa na uwezo wa kukukidhi.
Mmh Erotica,mbona mwenzio ni kibogoyo hata meno sina maana niki-apply najua nitapata maana dada Kaunga kama yupo pembeni yako basi nitapata ila nae aweza nisemea kwa mama kwani niko minor(under 18) te te te te
mh sifa ninazo kakini umri hautoshi! Napita mie
Not necessarily iwe siku moja. Halafu huyo Mtoto aitwe Jamii.