Namtafuta binti huyu wa Humu JF Naomba Tuwasiliane

Namtafuta binti huyu wa Humu JF Naomba Tuwasiliane

Kwa kweli aisee... Usijekuona mwanamke mzurii shape analoo lakini anachomwa na jua kwa kudanga haolewii... sasa wewe jichanganye ubebe uweke ndani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hakuna rangi ya hasira na maumivu utaacha onaa walahii...

Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisaaa
Ndio maana unaambiwa kosea kujenga utabomoa sio ukosew kuoa utajuuuta

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nikisikiaga habari kama hizi nakata kabisa tamaa ya kuoa dadeq yani siku hio hio na mzigo kaliwa uyo mwanamke ana undugu na ibilisi

ABCDEFGHIJKLMNOPQRSTUVWXYZ
 
Wanawake ambao wanawakandia waume zao huwa siwaelewi kabisa hivi ni lazima umkandie mume wako sababu umepata mwanaume mwingine tena wa mdamfupi tu?
ukweli ni kwamba ukipata mgegedo mpya na style mpya mpyakutoka kwa mtu mpya lazima upagawe
 
Mkuu izzo naomba unitumie PM kama umo humu...sikupati kwa ID ya izzo.

Nina ujumbe wako.
 
Back
Top Bottom