KabisaaaKwa kweli aisee... Usijekuona mwanamke mzurii shape analoo lakini anachomwa na jua kwa kudanga haolewii... sasa wewe jichanganye ubebe uweke ndani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hakuna rangi ya hasira na maumivu utaacha onaa walahii...
Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu anatupenda sana ila binadamu hatuishi kujisahau na kuona kua sie ni wajanja
ukweli ni kwamba ukipata mgegedo mpya na style mpya mpyakutoka kwa mtu mpya lazima upagaweWanawake ambao wanawakandia waume zao huwa siwaelewi kabisa hivi ni lazima umkandie mume wako sababu umepata mwanaume mwingine tena wa mdamfupi tu?