Jamani, mwenye contacts za Dr. Elias J. Muganyizi naomba anipatie, mara ya mwisho nilionana naye kwenye kinyang'anyiro cha kura za maoni katika mchakato wa Uchaguzi Mkuu uliopita Jimboni Karagwe. Ni muhimu sana bandugu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.