Namtafuta Mama Big

Namtafuta Mama Big

Hivi huyu Mama Big angelikuwa bado yu hai hadi hivi sasa angekuwa hajajitokeza?
 
The Finest hahahaha........ rule namba 3 bana ya ISC ....... hebu mtoe bana Mama Big na wenzako wam'sabahi'

Dah!!!! Ile rule for my case inabidi kuifanyia amendment upya, nitamtoa Mama Big for only special people nilitaka juzi kuanza na Babu kumbe babu yako bwana sijui ilikuwaje na kampeni zote zile mwisho wa siku ushindi chama tawala, sasa naangalia nimpe nani lakini hili swala tutajadili na yeye kwanza
 
mweee mweee jaman.......kinanukia siyo?
mhh natamani ungemwambia wakat mpo face to face maneno haya sijui ugepewa majibu gan wewe dah!!!
ronga longa vyema na finest atakupa njia ya kumpata mama bg....BIGIRITA UPO?umeskia i maneno?pole

Rose mfadhili wa chama na king wanataka kunitoa roho bwana si unajua ile ishu ya uwanja wa ndege halafu Jumatano naweza nichukue off kabisa maana nikienda kumpokea naenda na matarumbeta kabisa
 
Dah!!!! Ile rule for my case inabidi kuifanyia amendment upya, nitamtoa Mama Big for only special people nilitaka juzi kuanza na Babu kumbe babu yako bwana sijui ilikuwaje na kampeni zote zile mwisho wa siku ushindi chama tawala, sasa naangalia nimpe nani lakini hili swala tutajadili na yeye kwanza
Hahahaahh Hapana ngoja nikuume sikio Babu yangu mdogo.............Babu mkubwa anaandaa mazingira ya kutotimiza rule..............hata akipewa ashee yeye anachomoa ili kesho aseme nyie mnamnyima na yeye hataki.

Babu Achipirini shkang!!Mama Big anakusalimia
 
Hahahaahh Hapana ngoja nikuume sikio Babu yangu mdogo.............Babu mkubwa anaandaa mazingira ya kutotimiza rule..............hata akipewa ashee yeye anachomoa ili kesho aseme nyie mnamnyima na yeye hataki.

Babu Achipirini shkang!!Mama Big anakusalimia

Namjua vizuri Babu anavyopenda kujisafisha mbele ya kamati kuu kama vile Chenge ili sisi tuonekane ndio tulikuwa wabaya wake waliokuwa wanamzibia maslahi, lakini nilimwambia babu kuwa tuna makubaliano na Mama Big kwahiyo asipate shida ni swala linaloshughulikiwa
 
Hahahaahh Hapana ngoja nikuume sikio Babu yangu mdogo.............Babu mkubwa anaandaa mazingira ya kutotimiza rule..............hata akipewa ashee yeye anachomoa ili kesho aseme nyie mnamnyima na yeye hataki.

Babu Achipirini shkang!!Mama Big anakusalimia

Kajukuu inakuwaje unatoa siri za babu yako hazarani namna hii?
 
Kajukuu inakuwaje unatoa siri za babu yako hazarani namna hii?

Babu nimegundua kuwa ukipigiwa kura za maoni wkenye uchaguzi unaweza kwenda na maji usipotumia tu ubabe wako, halafu mjukuu alikuwa ananiambia habari muhimu sana inaonekana umeshika panga lakini halina makali
 

QUOTE=Rose1980;1233682]mweee mweee jaman.......kinanukia siyo?
mhh natamani ungemwambia wakat mpo face to face maneno haya sijui ugepewa majibu gan wewe dah!!!
ronga longa vyema na finest atakupa njia ya kumpata mama bg....BIGIRITA UPO?umeskia i maneno?pole

bigirita na mama big tena! jamaa alinipiga mkwara kwa preta
yaani ile day one naingia jamvini hahahaha kumbe na yeye
mharibifu tuu! ngoja nirudi kwa preta mie, preta upoooo :wave:[[/QUOTE]
we gonga tu utafunguliiwwa lakin bgIRITA AKIKUFUMA UNALOOO!
 
mweee mweee jaman.......kinanukia siyo?
mhh natamani ungemwambia wakat mpo face to face maneno haya sijui ugepewa majibu gan wewe dah!!!
ronga longa vyema na finest atakupa njia ya kumpata mama bg....BIGIRITA UPO?umeskia i maneno?pole

Yeah nahitaji sana yeye mwenyewe amesema kuwa jamaa yake mume wa mtu hupenda kuchukua chupi zake ili awe ananusa na huziweka ofisini na kwenye gari lake. Nimehamasika sana na habari hiyo kwani mie pia hupenda kunusa chupi na tabia hii ninayo kitambo sana. Huwa na vizia chupi zinazoanikwa kwenye nyumba ya kupanga ili nizinuse tu nyingine japo huwa zimefuliwa ila huwa zinabaki na harufu nzuuuuriiiii.
 
Mzee unataka na wewe unuse nuse kufuli yake nini?
 
Kwamba ana panga lakini halina makali

Thanx....thanx....
Kwamba babu ana panga la zamani.....limeisha umebaki mpini.....(imethibitishwa na mmoja wa wajukuu zake)...na sio siri...
 
Back
Top Bottom