Namtafuta Mama Yangu popote alipo

Namtafuta Mama Yangu popote alipo

Lethergo

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2023
Posts
6,534
Reaction score
11,421
Naomba kuwasilisha kwenu Wakuu.

Namtafuta Mama yangu nahisi kuna asilimia nyingi zisizopungua 95 huyu Mama ninaehisi ni Mama yangu Mzazi sio Mama yangu Mzazi halisi, kuna kitu kinaniambia kabisa ndani yangu kwamba huyu sio Mama yako aliekuzaa ila Mama yangu alienizaa sijui alipo. Mama yangu mzazi popote ulipo uisikie sauti yangu hii, Mama kwanini ulinitupa? Kwanini uliniacha peke yangu?
 
Naomba kuwasilisha kwenu Wakuu.

Namtafuta Mama yangu nahisi kuna asilimia nyingi zisizopungua 95 huyu Mama ninaehisi ni Mama yangu Mzazi sio Mama yangu Mzazi halisi, kuna kitu kinaniambia kabisa ndani yangu kwamba huyu sio Mama yako aliekuzaa ila Mama yangu alienizaa sijui alipo. Mama yangu mzazi popote ulipo uisikie sauti yangu hii, Mama kwanini ulinitupa? Kwanini uliniacha peke yangu?
Umelewa visungura au?
 
Naomba kuwasilisha kwenu Wakuu.

Namtafuta Mama yangu nahisi kuna asilimia nyingi zisizopungua 95 huyu Mama ninaehisi ni Mama yangu Mzazi sio Mama yangu Mzazi halisi, kuna kitu kinaniambia kabisa ndani yangu kwamba huyu sio Mama yako aliekuzaa ila Mama yangu alienizaa sijui alipo. Mama yangu mzazi popote ulipo uisikie sauti yangu hii, Mama kwanini ulinitupa? Kwanini uliniacha peke yangu?
Nini Tena mzee mwenzetu lethergo.
POLE.

Hii dunia imebeba mengi Sana na usituone tunatembea mioyoni tumebeba MENGI.
 
Ishi maisha yako mkuu, tafuta amani yako usitegemee amani kwa mtu ambaye unataka awe kwa sababu ya misingi ya familia.
Watu Baki wanaweza kukupa amani, huyo Mama unahisi sio Mama yako anaweza akawa ndiye, lakini kwa sababu nayeye ni binadamu pia ana changamoto zake...
Mtu ni mchakato muache awe..
Ili uwe na amani hebu jitenge tafuta watu wapya
 
Naomba kuwasilisha kwenu Wakuu.

Namtafuta Mama yangu nahisi kuna asilimia nyingi zisizopungua 95 huyu Mama ninaehisi ni Mama yangu Mzazi sio Mama yangu Mzazi halisi, kuna kitu kinaniambia kabisa ndani yangu kwamba huyu sio Mama yako aliekuzaa ila Mama yangu alienizaa sijui alipo. Mama yangu mzazi popote ulipo uisikie sauti yangu hii, Mama kwanini ulinitupa? Kwanini uliniacha peke yangu?
WE JINA LAKO SI UNAJIITA "LET HER GO=LETHERGO"
akaenda, sasa unataka nn tena?
au unataka LET HER COME=LETHERCOME
 
Back
Top Bottom