Namtafuta Mama Yangu popote alipo

Namtafuta Mama Yangu popote alipo

Nini kimekupelekea kusema ivo?

Let's assume it's true!

Na Pengine Mungu anataka kukutanisha na mama yako, ilikuwa ni lazima upitishwe kwenye magumu ili uamke kutoka kwenye usingizi na uwanze safari ya kuitafuta kweli
 
Sasa wewe kusema kuwabhamuelewi, haiondoi kuwa tayari ni mama ako mzee baba.

labda unge sema kataka kukupa sumu, au kukufunga jela.

Beside una kula bange au visungura?
Mkuu situmii hivyo vitu kabisa na sijawahi kugusa sijui vinatumiwaje ila Mama yangu anatumia ndio maana nasema huyu sio Mama yangu
 
Nini kimekupelekea kusema ivo?

Let's assume it's true!

Na Pengine Mungu anataka kukutanisha na mama yako, ilikuwa ni lazima upitishwe kwenye magumu ili uamke kutoka kwenye usingizi na uwanze safari ya kuitafuta kweli
I think Mama yangu yupo sehemu kwenye hii dunia siku moja nina imani nitakutana nae but huyu Mama sio Mama yangu nina asilimia nyingi za kusema hivyo sababu ni nyingi nyingi nyingi zingine sitoweza kuziandika hapa
 
I think Mama yangu yupo sehemu kwenye hii dunia siku moja nina imani nitakutana nae but huyu Mama sio Mama yangu nina asilimia nyingi za kusema hivyo sababu ni nyingi nyingi nyingi zingine sitoweza kuziandika hapa
Je, unamchukia au amefeli kuwa mama kwako ?...

Je, kama unachohisi ni kweli na ukampata huyo mama yako halisi, unadhani atakuwa mkamilifu mkuu
 
Suluhisho si ni kuto mwambia ili asi jue, kingine muda mwingine furaha ya kina mama Ina zidi hivyo ana ona nae avimbe Kuhusu maendeleo ya mwanae.
Hapana mkuu, sio hivyo unajua mpaka nimeamua kuandika uzi huu sijakurupuka, km kuna Mama anapita humu aliwahi kumtupa Mwanae anitafute PM inaweza ikawa ndio Mimi
 
Naomba kuwasilisha kwenu Wakuu.

Namtafuta Mama yangu nahisi kuna asilimia nyingi zisizopungua 95 huyu Mama ninaehisi ni Mama yangu Mzazi sio Mama yangu Mzazi halisi, kuna kitu kinaniambia kabisa ndani yangu kwamba huyu sio Mama yako aliekuzaa ila Mama yangu alienizaa sijui alipo. Mama yangu mzazi popote ulipo uisikie sauti yangu hii, Mama kwanini ulinitupa? Kwanini uliniacha peke yangu?
Kwa hiyo sisi tukusaidiaje?
 
Je, unamchukia au amefeli kuwa mama kwako ?...

Je, kama unachohisi ni kweli na ukampata huyo mama yako halisi, unadhani atakuwa mkamilifu mkuu
Mkuu, ingawa wanasema huwezi kumbadirisha Mama yako ulienae ila kuna Mama za watoto wengine hua unafika wakati Mimi tangu nikiwa mdogo nilikua natamani Mama yule angekua Mama yangu, ikitokea nimempata Mama yangu halisi nahisi atakua km Mimi na nitatimia ingawa hatujaonana kitambo kirefu maana sasa sijui km yupo hai au la
 
Yaaani mama Yako anatumia kisunguraaa😬😬😬😬😬

Dadeeeki
Sijakuelewa mkuu sijui km anatumia au hatumii sijawahi kumuona anatumia wala kuambiwa anatumia kwa hio nimejibu km nilivyoulizwa labda anatumia mimi sijui maana sikai nae muda wote yeye anakaa kivyake na mimi nakaa kivyangu
 
Sasa Sauti Hiyo Imekwambia Yupo Wapi ?
Nimesema sijui km yupo hai ila ukisoma kichwa cha uzi utaelewa mkuu, sauti hii inaniambia huyu sio Mama yako sababu kuna kitu hukielewi unajua mtoto anamjua Mama yake naturally kua huyu ni Mama yangu amenizaa hio nature ila nature hio hio inaweza kumwambia mtoto huyu hapa sio Mama yako ni nature inaongea ni sauti kutoka ndani ulimwengu unaongea ndani yako kuna vitu unafanyiwa to the extent unasema huyu sio Mama yangu kuna vitu Mama hawezi kuvifanya kwa Mtoto hata iweje, ukisoma 7 universal laws of nature utaelewa vizuri mkuu nimekujibu kwa ufupi
 
Sijakuelewa mkuu sijui km anatumia au hatumii sijawahi kumuona anatumia wala kuambiwa anatumia kwa hio nimejibu km nilivyoulizwa labda anatumia mimi sijui maana sikai nae muda wote yeye anakaa kivyake na mimi nakaa kivyangu
Hao SAWA nikajua kwamba anatumia!!
 
Mkuu situmii hivyo vitu kabisa na sijawahi kugusa sijui vinatumiwaje ila Mama yangu anatumia ndio maana nasema huyu sio Mama yangu
Kwahyo ipo siku mtoto wa Gigy money nae atakuja umu kusema yule sio mamaake
 
Back
Top Bottom