Tumwesige senior
JF-Expert Member
- Jan 28, 2013
- 3,506
- 6,305
Uzi umekatwa nusu,haujitoshelezi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ungetoa ABC kidogo why unadhani sio Mama yako Mzazi! Then tungeweza kukusaidia kama uko sahihi au lah, hili lingekusaidia uweze kuendelea na mchakato wa kumtafuta Mama yako au kusitisha hilo zoezi.....Naomba kuwasilisha kwenu Wakuu.
Namtafuta Mama yangu nahisi kuna asilimia nyingi zisizopungua 95 huyu Mama ninaehisi ni Mama yangu Mzazi sio Mama yangu Mzazi halisi, kuna kitu kinaniambia kabisa ndani yangu kwamba huyu sio Mama yako aliekuzaa ila Mama yangu alienizaa sijui alipo. Mama yangu mzazi popote ulipo uisikie sauti yangu hii, Mama kwanini ulinitupa? Kwanini uliniacha peke yangu?
Sasa wewe yanakuhusu nini maisha yake? Kuna Siku ulilala njaa? Uliwahi kukosa Ada au kushindwa kufuliwa nguo? If not, muache na maisha yake. Kuna Watu wamesomeshwa na pesa ya gongo....Mkuu situmii hivyo vitu kabisa na sijawahi kugusa sijui vinatumiwaje ila Mama yangu anatumia ndio maana nasema huyu sio Mama yangu
Wahi haraka hospital ya vichaa mirembeNaomba kuwasilisha kwenu Wakuu.
Namtafuta Mama yangu nahisi kuna asilimia nyingi zisizopungua 95 huyu Mama ninaehisi ni Mama yangu Mzazi sio Mama yangu Mzazi halisi, kuna kitu kinaniambia kabisa ndani yangu kwamba huyu sio Mama yako aliekuzaa ila Mama yangu alienizaa sijui alipo. Mama yangu mzazi popote ulipo uisikie sauti yangu hii, Mama kwanini ulinitupa? Kwanini uliniacha peke yangu?
Kapime DNA.Naomba kuwasilisha kwenu Wakuu.
Namtafuta Mama yangu nahisi kuna asilimia nyingi zisizopungua 95 huyu Mama ninaehisi ni Mama yangu Mzazi sio Mama yangu Mzazi halisi, kuna kitu kinaniambia kabisa ndani yangu kwamba huyu sio Mama yako aliekuzaa ila Mama yangu alienizaa sijui alipo. Mama yangu mzazi popote ulipo uisikie sauti yangu hii, Mama kwanini ulinitupa? Kwanini uliniacha peke yangu?
AkiriSasa unasema unamtafuta mama Ako na huweki majina na vigezo,
Anyway hii ni afya ya...... Nisimalizie
Akusikie popote alipo na ID fake yako?Naomba kuwasilisha kwenu Wakuu.
Namtafuta Mama yangu nahisi kuna asilimia nyingi zisizopungua 95 huyu Mama ninaehisi ni Mama yangu Mzazi sio Mama yangu Mzazi halisi, kuna kitu kinaniambia kabisa ndani yangu kwamba huyu sio Mama yako aliekuzaa ila Mama yangu alienizaa sijui alipo. Mama yangu mzazi popote ulipo uisikie sauti yangu hii, Mama kwanini ulinitupa? Kwanini uliniacha peke yangu?
Vipi Da kumbe upo boss umepotea sana jukwaaniUnahitaji msaaada Gani toka kwetu mkuu... Au umetupa tu taarifa???
Hii mada ilitakiwa iwe kule chitchat na jokes.Hili sio swali la kuniuliza mkuu, sijui umetumia vigezo gani kuniuliza hili swali
Situmii hivyo vitu mkuu mwili wangu hauna aina yoyote ya alcohol zaidi ya maji sinywi kilevi chochote hata chai na kahawa kwangu mwiko situmii situmiiMkuu kuwa serious kidogo!!, Unamtafuta mama yako wakati huo hutoi taarifa kamili juu yako na utata wa kumthibitisha huyo kama sio mama yako.
Siku hizi kuna hivi vipombe vya chupa vinasumbua sana vijana!!.
Anaongea kinyume chake ila unajua kutokanana anachokiongea anamaanisha kabisa wewe sio mwanangu na Mimi sio Mama yako sometimes anakwambia nenda kamtafute Mama yako alipo, kuna treatment ya Mama kwenda kwa mtoto na kuna kipindi niliwahi kumhoji Mzee kwani Mimi Mama yangu yupo wapi? Hakuwahi kunipa jibu linaloeleweka sababu nilishagundua huyu sio Mama yanguAu karopoka kua alikuokota?