Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maskini.pole sana .huenda ni mamako kabisa ila hasira zinamzid nguvuAnaongea kinyume chake ila unajua kutokanana anachokiongea anamaanisha kabisa wewe sio mwanangu na Mimi sio Mama yako sometimes anakwambia nenda kamtafute Mama yako alipo, kuna treatment ya Mama kwenda kwa mtoto na kuna kipindi niliwahi kumhoji Mzee kwani Mimi Mama yangu yupo wapi? Hakuwahi kunipa jibu linaloeleweka sababu nilishagundua huyu sio Mama yangu
Kwanini sasa usikae naye mbali ukajtenga naye kabisaNiliwahi kutamani kuondoka nyumbani nikiwa nikiwa mdogo sana na attempt hizo nimezifanya zaidi ya mara moja
Hakuna. Kuna taarifa nyingi sana bado inatakiwa ili tuweze kumsaidia katika kumtafuta mama yake halisi. Kwa hayo aliyoyaandika ni kama taarifa tu kwamba anamtafuta mama yake kwa vile haridhiki na huyu anayeishi naye.Kuna mtu anatafutwa kwa hiyo staili yako?
Nimekuelewa mkuu lakini sababu zinazopelekea kuamini kua huyu sio Mama yangu ni nyingi mno nyingi sana laiti km ungekua upande wangu ungelitambua hiloUnasema sio mama yako kisa hana tabia kama zako??
Hiyo ni kawaida na kuna tabia zipo zaidi kwa wanawake na sio wanaume. Inabidi uelewe kua mama yako ni mwanamke na sio mwanaume kama wewe na baba yako..
Wazazi huwa wanazingua sana sometimes ila haiondoi tittle yao ya kua ni wazazi. Mapito yao na yako ni tofauti, si ajabu elimu yako na yao ni tofauti, jinsi wewe unachukulia mambo na wao ni tofauti.
Wewe ni mkimya mama ni muongeaji hapo pia kuna utofauti .
Mema hayakosekani mkuu ila mabaya yanapozidi mema hakuna mema tena, suala la kuuliza nimewahi kumuuliza Mzee akanipa jibu la mkato tu still bado nimebakia kuona huyu sio Mama yanguSawa kaka Ila kama unahisi si mama yako kwa ajili ya vitendo vyake unaweza kukosea kwa sababu kila mama ana tabia zake za kibinadamu Ila kama unahisi si mama yako kutokana na viashiria flani solid. Then waulize wakubwa wa ukoo wako, lazma wanajua
Japo kila geti ambalo limefungwa mbele yako kwa muda mrefu bhasi ujue kuna gharama utailipia kulifungua. Na kikubwa zaidi, usisahau wema wa huyo mama hata kama ni mdogo kwa kiasi gani
Kwa hiyo unamtafuta mama ambaye hajawahi kukutafuta? What is the point? Kama hajakutafuta ina maana hana haja na wewe.Bro nakuheshimu sana na naheshimu mawazo yako na mtazamo wako uwe hasi au uwe chanya, ila tu usinishutumu kwa vitu nisivyovifanya halafu Mimi sio Mtoto tena nimekua mtu mzima sasa ila nilichoandika hapa ukielewe km kuna Mama aliwahi kumtelekeza mwanae sehemu na yupo anaishi ajue mwanae yupo hai na ameshagundua Mama aliehisi ni Mama yake miaka yote zaidi ya 30 sio Mama yake
Tafuta ukweli kwa ndugu zake wengine .again pole sanaSuala sio hasira kuzidi mkuu
Hilo jina we kenge ushaniharibia swaum yanguHuyo Half american a.k.a nusu albino 😆, haja tokea
kenge maji, nusu albino nusu albino nusu albino nime kuita mara tatu 😂Hilo jina we kenge ushaniharibia swaum yangu
Tafuta ukweli lakini kumbuka usisahau wema hata kama ni mdogo. Kama hukukudhuru na akachangia hata kidogo kukuza, inakupasa umshukuru hata kama kwako hana thamaniMema hayakosekani mkuu ila mabaya yanapozidi mema hakuna mema tena, suala la kuuliza nimewahi kumuuliza Mzee akanipa jibu la mkato tu still bado nimebakia kuona huyu sio Mama yangu