Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KulendemkaWatu tushaambiwa najuta kuwazaa ila imani haikushuka hata tone we kuhisi tu unaanza kutafuta mama mwingine. Kaza mzee kaza acha kulendemka.
haha kuwa mlenda mlenda bossKulendemka
Weka picha yako halisi mama yako aweze kukutambua!Naomba kuwasilisha kwenu Wakuu.
Namtafuta Mama yangu nahisi kuna asilimia nyingi zisizopungua 95 huyu Mama ninaehisi ni Mama yangu Mzazi sio Mama yangu Mzazi halisi, kuna kitu kinaniambia kabisa ndani yangu kwamba huyu sio Mama yako aliekuzaa ila Mama yangu alienizaa sijui alipo. Mama yangu mzazi popote ulipo uisikie sauti yangu hii, Mama kwanini ulinitupa? Kwanini uliniacha peke yangu?
Mama wa mamilioni ya Watanzania akiwemo Wassira mwenye miaka 80, yaani mama ni mdogo kuliko mtoto!Naungana nawewe,Mama yako itakuwa ni Mama Saa100.
Huu ni urudifishaji au ??😬😬😬🤣haha kuwa mlenda mlenda boss
Karibu sana mkuu naamini umerudi na mengi mazuri kama hutojali tuletee tuburudike, tujifunze na kuelimika pia. Maana we ni miongoni mwa watu wachache ambao maandishi yenu hayachoshi na yana shule nyingi na kubwa sana.Nimerudi tena see, Maisha will humble you
Kuna jamaa kauliza umri hapo juu ila wadau wamemshambulia kama ni swali la kijinga..Nimekuelewa mkuu lakini sababu zinazopelekea kuamini kua huyu sio Mama yangu ni nyingi mno nyingi sana laiti km ungekua upande wangu ungelitambua hilo
😅😅😅😅Sasa Sauti Hiyo Imekwambia Yupo Wapi ?
Sawa mkuu umeelewekaKuna jamaa kauliza umri hapo juu ila wadau wamemshambulia kama ni swali la kijinga..
Ila mkuu kipindi na mimi ni teenager nilikua nahisi wale naishi nao sio ndgu zangu, hawanipendi, wananichikia, wanataka niondoke pale nk.
Ila mwisho wa siku nikaja kujua tunatofautiana.
Hata mimi kuna kipindi nilikua na mawazo kama yako kwa mama yangu ila nikaja kumsoma na kujua zile reactions zangu juu ya tabia yake zinamuumiza kama mama mzazi.
Hapana hii haiwezi tokea maana hua naongea na watu pia ingawa sio sana mara moja moja na hua sipendi mikusanyiko ya watu mambo ya kujenga kijiwe nilijaribu kua najichanganya gym nikashindwaTafta watu uwe unaongea nao kuna siku utawehuka!.
Sawa tajiri, hii haina kipengele tajiri, labda uje nacho weweNaungana nawewe,Mama yako itakuwa ni Mama Saa100.
Hayo umeshayaongea kwenye mada.Mama ninaehisi ni Mama yangu kuna asilimia nyingi zinanionyesha sio Mama yangu kuna sauti kutoka ndani inaniambia huyu sio Mama yako