Sorry kama ni makosa, niliona HAPA ni rahisi zaidi kwangu, na kwa nia njema.Umeshindwa Kweli Kwenda Kanisa Lolote La SDA Ukapata Usahihi Alipo
Kwahiyo Unamtafuta JF, Twitter, Instagram, Facebook, Badoo
Njia Nyepesi Na Ya Haraka Ungepata Number Za Simu Za SDA Ambako Unadhani Alikuwa Anatoa Huduma Ungempata Haraka SanaSorry kama ni makosa, niliona HAPA ni rahisi zaidi kwangu, na kwa nia njema.
Namba yako ndiyo namba ya huyo mchungaji .....wenye akili tunajua kusoma alama za nyakati za wapigaji sadaka kama wewe naona unatafuta sadaka za mazuzu.NAMTAFUTA MCHUNGAJI FRACIS NDACHA WA SDA NIMPE SADAKA YANGU
Kwa kazi kubwa iliyotukuka ya kueneza injili naomba kujua ni namna ipi sadaka yangu inaweza kukufikia
Kwa yeyote mwenye mawasiliano na huyu mchungaji wa SDA naomba msaada habari hii imfikie pia naamini tupo wengi.
Shukran Pia kwa mawazo yakoNamba yako ndiyo namba ya huyo mchungaji .....wenye akili tunajua kusoma alama za nyakati za wapigaji sadaka kama wewe naona unatafuta sadaka za mazuzu.
Niyeke Tata mura weitho akore ikiya.?NAMTAFUTA MCHUNGAJI FRACIS NDACHA WA SDA NIMPE SADAKA YANGU
Kwa kazi kubwa iliyotukuka ya kueneza injili naomba kujua ni namna ipi sadaka yangu inaweza kukufikia
Kwa yeyote mwenye mawasiliano na huyu mchungaji wa SDA naomba msaada habari hii imfikie pia naamini tupo wengi.
Mbuya TATA, No monto omoholu bhokong'uNiyeke Tata mura weitho akore ikiya.?
Shukran kwa ushauriTafuta yatima na wajane wape hiyo sadaka utabarikiwa maradufu kulipo kumpa asiye na uhitaji.
Kwetu SDA sadaka hapewi mchungaji.. hata kama ni ya shukran unapeleka kanisa lililo karibu nawe..na itachanganuliwa mgawanyo kama utaratibu ulivyoNAMTAFUTA MCHUNGAJI FRACIS NDACHA WA SDA NIMPE SADAKA YANGU
Kwa kazi kubwa iliyotukuka ya kueneza injili naomba kujua ni namna ipi sadaka yangu inaweza kukufikia
Kwa yeyote mwenye mawasiliano na huyu mchungaji wa SDA naomba msaada habari hii imfikie pia naamini tupo wengi.
SHUKRAN kwa ushauri, basi niite zawadi kwake binafsi ikoje hii ?Kwetu SDA sadaka hapewi mchungaji.. hata kama ni ya shukran unapeleka kanisa lililo karibu nawe..na itachanganuliwa mgawanyo kama utaratibu ulivyo
Ohoo.. labda uandae kitu na si pesa.. maana pesa hawezi kupokea.SHUKRAN kwa ushauri, basi niite zawadi kwake binafsi ikoje hii ?
ok sawa Yeye yuko kenya na mm niko TZOhoo.. labda uandae kitu na si pesa.. maana pesa hawezi kupokea.
Kumpata.. sogea kanisa la sda lililopo karibu nawe naamini mchungaji wa hapo atakupa muongozo wa mawasiliano naye!