CAPO DELGADO
JF-Expert Member
- Aug 31, 2020
- 8,542
- 18,340
Ndacha ni KIBOKO jamani.
Sijawahi kuona Binadamu mwenye uwezo kama wake..
Ninamfuatilia mno
Sijawahi kuona Binadamu mwenye uwezo kama wake..
Ninamfuatilia mno
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa mimi sio msabato ila namkubali sanaNdacha ni KIBOKO jamani.
Sijawahi kuona Binadamu mwenye uwezo kama wake..
Ninamfuatilia mno
Sadaka tunapompa Mungu huwa hatutoi sababu Mungu ama uhitaji tunahitaji kubarikiwa nayeSadaka inatolewa hata kwa yatima na unaisemea maneno au wape wenye uhitaji hata mahospitalini. Labda kama unataka kumpa papa aibutue sema mbali na hapo sadaka ya kweli inatolewa popote penye uhitaji
Sadaka inatolewa kwa nani hasa na kwenye biblia imeandika nini kuhusu sadaka. Naona unataka kumpa mchungaji sadakaaaa haya mtafute umpe ww na mleta mada atawafaidi sanaSadaka tunapompa Mungu huwa hatutoi sababu Mungu ama uhitaji tunahitaji kubarikiwa naye
Sadaka sio kwa wahitaji tu
Mungu alimwambia Ibrahim amtolee sadakaSadaka inatolewa kwa nani hasa na kwenye biblia imeandika nini kuhusu sadaka. Naona unataka kumpa mchungaji sadakaaaa haya mtafute umpe ww na mleta mada atawafaidi sana
Wwngine tulishazoea kuwapa tunaowaona wanatubariki tunawapa mkononi sadakaSadaka inatolewa kwa nani hasa na kwenye biblia imeandika nini kuhusu sadaka. Naona unataka kumpa mchungaji sadakaaaa haya mtafute umpe ww na mleta mada atawafaidi sana
Mtu kabaka au jambazi au panya Road kafungwa kwa hiyo nimpelekee sadaka gerezani akaniombee?Katoe sadaka Kwa Wafungwa au Watu Watakushukuru Na Kukuombea
Humo Humo Kuna Mtu Hajabaka Na Kafungwa.Mtu kabaka au jambazi au panya Road kafungwa kwa hiyo nimpelekee sadaka gerezani akaniombee?