namtafuta mmu member awe mume wangu

Kuna mtu yuko hivo hivo ila sio mtanzania na haipendi Yanga (nadhani sababu haijui). Pia ni shabiki wa arsenal. Ila kwa mengine yote ni hivo kabisa. Nimesomesha thread yako, he looks interested.
Sharti lake yeye ni kwamba anataka mtu awe muaminifu na yeye aaminiwe pia. Hapendi kabisa kama uwe na na shaka, anasema inavunja trust maana unaamini zaidi hayo makaratasi kuliko yeye...
Yuko radhi msianze uhusiano wa kimapenzi ili upate wakati wa kumchunguza kwanza alafu kama bado unaendelea kua na shaka ndio akuletee makaratasi ya kuthibitisha.
Nilimuuliza pia kama kuna kitu anataka kujua toka kwako akasema hiyo ni kazi yake kukuomba, wala nisikuulize chochote on his behalf...
Vipi?
 
Fanya haraka ufe ili ummwahi mwenza mwenye sifa hizo ambaye hupatikana peponi na si katika dunia hii ambayo ni kama tambara bovu! Jilipue sasa unashangaa nini!!
 
dah nikuulize kwanza ni raia wa wapi? maana kuna nchi na nchi mwenzangu loh?
 
Leo nimehuzuria kwa ujasiri kabisa. wamesema sina hata malaria halaf pia wamegundua nina DNA za ajabu sana, wamesema mtoto wangu wa kwanza kama hatokuwa rais basi at least atachezea barcelona
mmmh ulivomkimbia yule dokta siku ile? sijui kwanini ukutuwakilisha mbio za olymic ungetuletea gold nyingi sana hapa nchini loh?
 
mwaka unaisha kwa mbwembwe kwelikweli - nadhani ni kutoakana na kuanguka kwa TZS!
 

Bebii zaaali hilooo........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…