Namtafuta mpenzi wangu Valentina.....jf member

Ndio changamoto zakumalizana juu kwa juu bila kujua mawasiliano ya dharura ya mtu ikiwa mkipoteana,

Hivyo endelea kuandiaka andika jumbe kama hizi , pengine atasikia au kuna atakaye jua alipo nakumpelekea salamu zako ,

Ila kama watu wamesha fanya yao utaumia zaidi nakumiss kwako huko...[emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…