Namtafuta mume mwenye sifa hizo

Chonga wako.........single mother bhn....mnasumbua sana mjini...eti hasiwe mhaya....unaolewa na kabila au mtu.....ukabila wa nn ?
 
Wahaya wana hela huwataki kwani i acha ukabila hufai kua mke wewe
 
Wewe unataka Mume asie na Ubaguzi, lakini wewe umeshaanza Ubaguzi. Tueleze kwa sababu gani hutaki Muhaya?
 
Hii ya pili naona "asiwe muhaya" inahusishwa hawa wahaya wana nini? kweli zama zilebadilika kutoka wamakonde, wamasai sasa wahaya [emoji23][emoji23]?
 
Wee hutaki mhaya!!! katerero hupendi??
 
Mbona personal attacks??? Aiseee
Pole Mdada puuzia kazana Na Pm tu wapo walio serious
Nakwambia
Humu wapo Wanaume wanaojielewa sana
Usibabaike Na tuvulana twa Veta
Kumbe ww ni mpuuzi wa hadhi ya PHD.kwa faida yako na ya hao wanaotaka kumuoa tunampima uwezo wake wa kuhandle vikwazo.we wadhani nani aokote dubwana pasi kuwa na uhakika nalo
 
Kila la heri mamy wahaya wana nini jaman nyerere alikataza ukabila
 
mbona kila cku dini christian specifically RC lini atakuja dini muslim
 
Dah... Mbona ukubwa wa mnara pamoja na nguvu ya network huwa hamuisemi?[emoji41]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…