Namtafuta mume mwenye sifa hizo

Kumbe ww ni mpuuzi wa hadhi ya PHD.kwa faida yako na ya hao wanaotaka kumuoa tunampima uwezo wake wa kuhandle vikwazo.we wadhani nani aokote dubwana pasi kuwa na uhakika nalo
Haaaaaaa VP VETA mmefungua??
 
RC siku hizi wengi sana wanatamani kuolewa. Ay ni wale masister wameamua kuachana na usister na kuamua kuwa WALEY?
 
sema malengo yako ni nini hasa? unataka mume mulee watoto au mustareheshane?
 
We pumbavu kweli na vigezo vyako nani akuoe na mashariti yako ya kipuuzi muhaya amekuzalisha watoto wawili akakuacha ndo maana huwataki tena we lea watoto wako hakuna anayetaka kuoa mke wa mtu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…