Namtafuta mume mwenye sifa hizo

Namtafuta mume mwenye sifa hizo

Ndoa mazipenda changamoto mnaziogopa. Mnajua ni kwa nini wanawake wa kikurya huolewa sana kuliko makabila yote???wao sifa yao hitangaza "aonyeshe upendo wa dhati kwa kumpiga mke wake hadi kumtoa damu au ngeu" sasa ninyi mnataka muwe kama mayai msiguswe na saa zote mume asifanye hata kazi awe anawaza kuku pet tu wewe
Siogopi changamoto za ndoa ndugu, kwani natambua hakuna mkamilifu na changamoto zipo tu. Jambo la msingi ni kupendana, kuheshimiana na kuvumiliana
 
Kweli wewe mhaya hiyo lugha ulivyoandika huku ihariri kabla ya kupost nawe huna sifa yoyote hujaweka wasifu wako inawezekana ukawa na miaka 42 .....jitambulishe
 
Kweli wewe mhaya hiyo lugha ulivyoandika huku ihariri kabla ya kupost nawe huna sifa yoyote hujaweka wasifu wako inawezekana ukawa na miaka 42 .....jitambulishe
Pole sana! Soma hadi mwisho
Makosa mengine ni ya kuchapaji tu ndugu.
 
Siogopi changamoto za ndoa ndugu, kwani natambua hakuna mkamilifu na changamoto zipo tu. Jambo la msingi ni kupendana, kuheshimiana na kuvumiliana
Kwa nini uliozaa nao hawakukuoa?
 
Siku ukijua kurekebisha hizo spelling errors zako utapata mume...jangiri ww
 
- Mume anayetambua thamani ya mwanamke yaani kumheshimuvna kumpenda.
- Umri 35-48
- Awe na watoto 2, kama hana mtoto na hana uwezo wa kupata mtoto kabisa pia anakaribishwa twaweza adopt Ikiwa atapenda.
- Mwenye kujua na kutimiza majukumu yake yakifamulia.
- Mwenye upendo kwa mke na watoto wote bila ubaguzi.
- Dini RC
- Awe anapenda kujishughurisha /kupambana kwa ushirikiano na mke ili kupata kipato kwa maendeleo ya familia.
- Awe muajiriwa au amejiajiri mwenyewe.
- Awe tayari kupima HIV na kufuata taratibu zote hadi ndoa.
- Asiwe Mhaya na asiwe mlevi pia
-


Sifa zangu

Umri 35
Watoto 2
Numeajiriwa
Sutumii kilevi

Kwa mwenye sifa hizo karibu PM ukitaja wasifu wako, maelezo yako na nia yako ya dhati ndiyo yatapelekea matokeo chanya kati yetu.
kwa hiyo sisi wa bukoba hatutakiwi? walikufanya nini ndugu zangu hawa?(in mama hela ya mboga voice)
 
Pombe inanikosesha vingi sana wallah....[emoji25] [emoji25] [emoji25]
 
Back
Top Bottom