the palace
JF-Expert Member
- Jan 11, 2018
- 340
- 1,025
chura ipo ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siogopi changamoto za ndoa ndugu, kwani natambua hakuna mkamilifu na changamoto zipo tu. Jambo la msingi ni kupendana, kuheshimiana na kuvumilianaNdoa mazipenda changamoto mnaziogopa. Mnajua ni kwa nini wanawake wa kikurya huolewa sana kuliko makabila yote???wao sifa yao hitangaza "aonyeshe upendo wa dhati kwa kumpiga mke wake hadi kumtoa damu au ngeu" sasa ninyi mnataka muwe kama mayai msiguswe na saa zote mume asifanye hata kazi awe anawaza kuku pet tu wewe
Pole sana! Soma hadi mwishoKweli wewe mhaya hiyo lugha ulivyoandika huku ihariri kabla ya kupost nawe huna sifa yoyote hujaweka wasifu wako inawezekana ukawa na miaka 42 .....jitambulishe
Wahaya sio wanaume wote hii ni zawadi kwa Wahaya tuWanaume changamkieni fursa hiyo.
Changamkia fursa komredi.Kila la kheri mkuu
Kwa nini uliozaa nao hawakukuoa?Siogopi changamoto za ndoa ndugu, kwani natambua hakuna mkamilifu na changamoto zipo tu. Jambo la msingi ni kupendana, kuheshimiana na kuvumiliana
Kila la kheri. Cha muhimu umakini tu rafiki.
Hahaaa. Hapana sio mimi Mkuu.Nkafikiri ni wewe kumbe huyu ni 'Emmy12'
Hilo nalo neno,Kwa nini uliozaa nao hawakukuoa?
Ni uchapaji sio kuchapaji kilaza ww...Pole sana! Soma hadi mwisho
Makosa mengine ni ya kuchapaji tu ndugu.
kwa hiyo sisi wa bukoba hatutakiwi? walikufanya nini ndugu zangu hawa?(in mama hela ya mboga voice)- Mume anayetambua thamani ya mwanamke yaani kumheshimuvna kumpenda.
- Umri 35-48
- Awe na watoto 2, kama hana mtoto na hana uwezo wa kupata mtoto kabisa pia anakaribishwa twaweza adopt Ikiwa atapenda.
- Mwenye kujua na kutimiza majukumu yake yakifamulia.
- Mwenye upendo kwa mke na watoto wote bila ubaguzi.
- Dini RC
- Awe anapenda kujishughurisha /kupambana kwa ushirikiano na mke ili kupata kipato kwa maendeleo ya familia.
- Awe muajiriwa au amejiajiri mwenyewe.
- Awe tayari kupima HIV na kufuata taratibu zote hadi ndoa.
- Asiwe Mhaya na asiwe mlevi pia
-
Sifa zangu
Umri 35
Watoto 2
Numeajiriwa
Sutumii kilevi
Kwa mwenye sifa hizo karibu PM ukitaja wasifu wako, maelezo yako na nia yako ya dhati ndiyo yatapelekea matokeo chanya kati yetu.
Bado namsikilizia Thad juu ya ushauri wake usikute karata imeniangukiaChangamkia fursa komredi.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Bado namsikilizia Thad juu ya ushauri wake usikute karata imeniangukia