Nleterewa Nganengo
JF-Expert Member
- Oct 11, 2016
- 5,007
- 11,316
Hata mimi niliangalia kwa jicho la hangover nikafikiri ni wewe swaiba.Hahaaa. Hapana sio mimi Mkuu.
Majina tu yametaka kushabihiana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mimi niliangalia kwa jicho la hangover nikafikiri ni wewe swaiba.Hahaaa. Hapana sio mimi Mkuu.
Majina tu yametaka kushabihiana.
[emoji3] [emoji3]Muache tu tutakutana lindoni
Hahahahaaa. Sio mimi Swahiba na ndio sababu nikashawishika kutia neno. Sababu watu wa humu hawachelewi.Hata mimi niliangalia kwa jicho la hangover nikafikiri ni wewe swaiba.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahahahaaa. Sio mimi Swahiba na ndio sababu nikashawishika kutia neno. Sababu watu wa humu hawachelewi.
Toka nijiunge humu Ki Id changu ni hicho hicho sijawahi kukatafutia msaidizi. Napambana nacho tu.
Ila nimecheka duuh. "Eti jicho la hangover" lol
Hahaaa. Na sio zuri kweli aiseee.[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sawa swaiba, hangover nimegundua sio nzuri kabisa, na ndo kigezo muhimu pekee nilichokosa kutoka kwenye list ya robotatu wajina wako
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahaaa. Na sio zuri kweli aiseee.
Inabidi ukikaa sawa urudie kupitia upya vile vigezo huenda Wajina wangu akapata wa faraja yake. Hahahaaaa.
Tia nia mzee hapoHuko hamna?
Hahahaaa. Swahiba ndio unawahi kule kwa Waziri Mkuu ama? [emoji12] [emoji12][emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji125] [emoji125] [emoji125]
Hahaha swaiba, mbinu za kuingia kwa Majaliwa sizijui kabisa, nifundishe basi[emoji40]Hahahaaa. Swahiba ndio unawahi kule kwa Waziri Mkuu ama? [emoji12] [emoji12]
Haya bana. Naamini hizo mbio pia ni za hangover.
Komredi naona unatafuta mbinu ili ummiliki Mrs Mtakatifu peke yako[emoji3]Tia nia mzee hapo
Hahaaa. Mie mwenyewe mgeni pande hizo ujue.Hahaha swaiba, mbinu za kuingia kwa Majaliwa sizijui kabisa, nifundishe basi[emoji40]
Amen.Hahaaa. Mie mwenyewe mgeni pande hizo ujue.
Basi Swahiba wacha wale waliozowea hiyo njia ya kuwafikisha kule kwa majaliwa wapambane na vigezo vya Wajina wangu.
Nilijua ni wewe. DaahKila la kheri. Cha muhimu umakini tu rafiki.
Siwapendagiiiiii watu kama nyieeeHuko hamna?