Nashauri watawala wa JF waangalie uwezekano wa kuunda jukwaa la 'Lost and Found' ambapo wanachama waliopoteana na watu wao wa zamani watafunguka huko.
Maana huwezi jua unaweza ukawa ulipotezana na mtu kwa muda mrefu na kumbe wote mkawa wanachama hapa JF.
Namtafuta.
sijuwi nitamuona wapi na vipi, nikiwa msichana wa miaka 16 tulikutana kariakoo ZANZIBAR kwenye viwanja vya sikukuu, siku ya pili tulikutana hapo hapo na kuelekea alikokuwa akiishi, kunaitwa Kilimani, tokea hapo hatukuonana tena miaka mingi imepita.wakati huo hakukuwa na simu za mikononi , hatukuwa na mawasiliano tena na vile alikuwa mgeni pale ZENJ , alihama na kupotea moja kwa moja. hivi nitampata kweli ?
Nashauri watawala wa JF waangalie uwezekano wa kuunda jukwaa la 'Lost and Found' ambapo wanachama waliopoteana na watu wao wa zamani watafunguka huko.
Maana huwezi jua unaweza ukawa ulipotezana na mtu kwa muda mrefu na kumbe wote mkawa wanachama hapa JF.
hapo umeongea.
ungemtaja kwa jina labda ungepata msaada zaidi.....kama hayupo JF labda kuna mtu anamfahamu atamwambia.....
Usiache kudu ze nidful...nigongee like na uongeze rep yangu. Sawa MwaJ?
namtafuta rafiki yangu anaitwa preta. Mara ya mwisho tuliona tar 18 dec 2011 saa 7:18pm kwa saa za africa mashariki. Atakayemuona anijulishe. Ahsante.
Hivi kwa nini lakini we Mwajuma? Yaani huwezi kujizuia kuchakachua sredi za watu....
Nashauri watawala wa JF waangalie uwezekano wa kuunda jukwaa la 'Lost and Found' ambapo wanachama waliopoteana na watu wao wa zamani watafunguka huko.
Maana huwezi jua unaweza ukawa ulipotezana na mtu kwa muda mrefu na kumbe wote mkawa wanachama hapa JF.
ningedu ila si unajua tena mambo ya via mobile. Ila usikonde wala nini hamisi kishindindo.
si ununue laptop mkuu?
namtafuta rafiki yangu anaitwa preta. Mara ya mwisho tuliona tar 18 dec 2011 saa 7:18pm kwa saa za africa mashariki. Atakayemuona anijulishe. Ahsante.