Wildchild
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 19,411
- 21,938
Mchaga peace Sana,kapo kila mahalo hapakosi washenzi🏃🏃Kila ovu mchaga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mchaga peace Sana,kapo kila mahalo hapakosi washenzi🏃🏃Kila ovu mchaga
HahahaaaNiwe makini mimi au wewe?
Au umesahau wewe ndiyo unawatafuta hao watu wako?
Cheki na MK254 japo nadhani ni tapeli ila we najua ni born town utamu handle
Uko sahihi 100%Hakuna mtu wa Arusha anayeweza kuja kutafuta Wakenya kwenye mitandao, maana pale Arusha ni kama Kenya, tuna undugu fulani nao, wana muamko fulani hivi watu wa Arusha, tunapiga biashara nao kila siku, mamia ya Wakenya wanakatiza pale kwenye mishe zao siku zote, vile vile Nairobi imejaa watu wa Arusha.
Kwa hivyo Mtanzania wa Arusha hawezi kupita hata siku moja hajakutana na Mkenya hapo Arusha.
Sikia wewe,yaani wewe ni nani mpaka uweze kusema hakuna mtu wa Arusha anaweza kumtafuta mtu mtandaoni,wewe una mamlaka gani wa kujua mawazo ya watu wote wa Arusha,eti hakuna mtu wa Arusha,wewe umekuwa Mungu ujue mawazo yote ya watu wa Arusha.Hakuna mtu wa Arusha anayeweza kuja kutafuta Wakenya kwenye mitandao, maana pale Arusha ni kama Kenya, tuna undugu fulani nao, wana muamko fulani hivi watu wa Arusha, tunapiga biashara nao kila siku, mamia ya Wakenya wanakatiza pale kwenye mishe zao siku zote, vile vile Nairobi imejaa watu wa Arusha.
Kwa hivyo Mtanzania wa Arusha hawezi kupita hata siku moja hajakutana na Mkenya hapo Arusha.
Ana hamu ya kuliwa kavuIngia Instagram kwenye business page za wakenya au Nigerians watakupatia muongozo.
Yani Mkenya atakupiga kama ngoma.Hapo vip!!
Hapo vip!!
Mimi ni mfanyabiashara na napatikana Arusha, ila napenda sana nikimpata Mkenya ambaye yupo tayari kufanya biashara nje ya mipaka.
Napenda kufanya biashara na wakenya au Wanaigeria...niwatu ambao naona naweza kufanya nao kazi kwenye biashara.
Mimi nipo smart na IQ kubwa kuliko kizazi na kabila lenu loteYani Mkenya atakupiga kama ngoma.
Mimi nipo smart na IQ kubwa kuliko kizazi na kabila lenu lote,tumia maneno ya staha.Ana hamu ya kuliwa kavu
Naona una hamu ya kulia. Mkenya hajawahi kumuacha mtu salama. Njoo Arusha sisi tulioko border ndio tunawajua Hawa jamaa. Lazima uachiwe manyoya.
Sikia wewe,yaani wewe ni nani mpaka uweze kusema hakuna mtu wa Arusha anaweza kumtafuta mtu mtandaoni,wewe una mamlaka gani wa kujua mawazo ya watu wote wa Arusha,eti hakuna mtu wa Arusha,wewe umekuwa Mungu ujue mawazo yote ya watu wa Arusha.
Acha kujenga hoja za kisiasa zilizopitwa na wakati,Wewe unanijua mimi asili yangu na ubini wangu..au unaongea tu kwasababu ni rahisi kuandika kwenye mtandao baada ya kunywa chai ya rangi na vitumbua?
Eti hakuna mtu wa Arusha kwa hiyo mawazo ya watu wa Arusha yanapitia kwako kwanza?
Waswahili bhna[emoji38][emoji38]