mito
JF-Expert Member
- Jun 20, 2011
- 10,682
- 10,801
Huyu bwana huwa ni shabiki mkubwa wa simba anayejielewa sana, mimi namfuatiliaga sana post zakeGENTAMYCINE uko mbali Sana ktk tasnia ya uchambuzi wa soka. Waliokushambulia Sasa wanakupigia magoti.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu bwana huwa ni shabiki mkubwa wa simba anayejielewa sana, mimi namfuatiliaga sana post zakeGENTAMYCINE uko mbali Sana ktk tasnia ya uchambuzi wa soka. Waliokushambulia Sasa wanakupigia magoti.
Mwenyezi Mungu kanibariki mno Upeo.
Akhsante na Shukran mno Mkuu wangu.Huyu bwana huwa ni shabiki mkubwa wa simba anayejielewa sana, mimi namfuatiliaga sana post zake
Hana lolote! Mwewe kukunyea kichwani sio kuwa amekurenga!Huyu bwana huwa ni shabiki mkubwa wa simba anayejielewa sana, mimi namfuatiliaga sana post zake
Ume badilika tena sio nje ndaniWanakuja kufa ndani.
Goli chache sana
Ana ID miaHuyu bwana ni mchawi kila k2 akisema si cha kupuuzwa ana details nyingi kiukwel namkubali sana GENTAMYCINE mnoo Sema sijui ndio waga anakua @Generalist muda mwingine hawa watu wanatuchanganya ila kiukwel we jamaa kokote ulipo unakipaji kikubwa mnooo
Asante sana na Shukran mno Mkuu wangu na Pongezi zako nimezipokea na kunitia Moyo zaidi hadi Kunifariji pia japo wa Kumshukuru hasa ni Mungu.Huyu bwana ni mchawi kila k2 akisema si cha kupuuzwa ana details nyingi kiukwel namkubali sana GENTAMYCINE mnoo Sema sijui ndio waga anakua @Generalist muda mwingine hawa watu wanatuchanganya ila kiukwel we jamaa kokote ulipo unakipaji kikubwa mnooo
Umezuiwa na Wamiliki kuwa nazo? Fool.Ana ID mia
Umemaliza kila Kitu Mkuu na Asante. 95% ya Walionipongeza hapa ni Wanafiki watupu na tena Wananichukia nashangaa leo ( sasa ) wanaanza Kunielewa.Akiandika mnaishia kumwita popoma, mkipigwa ndio mnajifanya mnaheshimu michango yako humu, wakati hua kwenye vipindi vyenu mnambeza hasa mnapochambua mnajifanya mashabiki wanasema hivi kumbe mmechota maada yake huku jeiefu,
Hukuwa Rafiki yangu mkubwa hapa JamiiForums kwa bahati mbaya Mkuu bali una Uwezo mkubwa wa Akili, Kuchambua mambo ( Masuala ) na Uelewa mpana.Genta ana marafiki wachache sana JF. Na sababu kubwa ni kwamba watu wengi hawataki kuambiwa ukweli. Genta ni mkweli na si mnafiki kama walivyo hao marafiki zake na ndo maana anaelewana nao na huwezi kukuta anakoseana nao heshima. Tatizo la wengi humu hawawezi kuangalia mpira katika angle ya ufundi. Wanaangalia mpira kishabiki zaidi. Ukisoma komenti za wanasimba wengi kabla ya saa 1.00 jana jioni utaona maneno ya majigambo tupu. Tatu bila, hakuna wakumkaba Miqueson, Chama atawaua mapema, Morrison anawafahamu vizuri....! Yaani utadhani Kaizer wamefungwa miguu ili Simba wacheze watakavyo.
Lakini ukiangalia kiundani maneno ya Genta ndiyo ukweli halisi kuhusu timu ya Simba. Mbali ya shida ya beki za pembeni, lakini kati ni pabovu kuliko hata huko pembeni. Lakini ukimwambia hivyo mwanaSIMBA utaoga matusi. Simba kufanya vizuri sana ndani si sababu ya kuwadharau anaokutana nao nje. Simba kufanya vizuri hatua ya makundi si sababu ya kuwadharau anaokutana nao mtoano. Wengine walianza kuweka idadi ya point alizopata Simba makundi na kuwa wa pili kwa timu zote quarter finalists. Hivi hii nayo ni sababu ya kukufanya uwadharau wengine?
Timu zetu zinabweteka mno na mafanikio madogo, yaani wakipata kidogo utawasikia tu tambo zao kama ndo wameiteka Afrika na bado kidogo waichukue Dunia.
Tunapenda sana timu zetu zifike mbali lakini mashabiki na viongozi tunawapotosha mno wachezaji. Ni vizuri kujenga mentality ya ushindi lakini kudharau mpinzani si tabia ya ushindi.
HONGERA GENTA KWA KUWA MKWELI DAIMA.
Watanzania huwa hatupendi kuambiwa ukweli, hongera sana kumbe kuna mashabiki wa mikia wanaakili nzuri tu,sasa nitaacha kuwaunganisha wote Kuwaita lile jina la Rage.......Kwa kuwafuatilia Kwangu kwa Jicho la Kiufundi naliomba Benchi la Ufundi la Simba SC lifanye Maandalizi makubwa ikiwezekana hata kuliko yale waliyoyafanya ilipocheza na Al Ahly hapa Dar es Salaam.
Wana Winga zao ( Viberenge ) Wawili ambao nina uhakika Siku hiyo akina Kapombe na Tshabalala wajipange kweli kweli kwani 'Jamaa' wanateleza na Chaki hadi hatari.
Wana 'Mido' yao moja hiyo ni 'Fundi' hasa hata huyu Chama wetu anasubiri na anajua kusambaza mipira huku akiichezesha vyema Timu yake vile atakavyo.
Wana 'Hitman' wao Mmoja huyu Yeye katika mipira ya Krosi Mitano Mitatu lazima akuumize na ana uwezo kwa Kukunjuka kwa Kupiga Miwa ( Mashuti ) ya maana kokote pale na ikawa imo.
Hata hivyo Udhaifu wao mkubwa upo sana katika Beki zao za Kati na Beki wao wa Kushoto ambao kama Simba SC itayatumia vyema haya Mapungufu tunaweza Kufanikiwa.
Simba SC tunajisifu kwa Kucheza Pira Biriani ( Mpira Burudani ) ila kwa hawa Kaizer Chiefs FC huu sasa ndiyo Mchezo wao na wakati huku Tanzania tukimsifia Bernard Morrison kwa kuwa na 'Udambwidambwi' huko Kaizer Chiefs FC karibia Wachezaji wao wote ndiyo Mabingwa wa hii tena hasa pale wakiwa wanaongoza.
Ni kweli kwa miaka ya karibuni Kaizer Chiefs FC haijafanya vyema kivile ila tusijisahau kuwa Ligi ya Afrika Kusini ( PSL ) ni Kubwa na inaizidi yetu ya VPL tena kwa mbali mno hivyo hata Kiviwango wapo juu na hili tusilibishie kwani ndiyo Ukweli wenyewe.
Wakati huku Simba SC yetu tunaambiwa Mchezaji anayeoongoza kwa Kuchukua Mshahara mkubwa ni Bernard Morrison 11,000 USD ila katika Klabu ya Kaizer Chiefs Mshahara wa chini ( mwisho ) wa Mchezaji wao nimedokezwa ni 39,000 USD.
Na tukumbuke kuwa Ligi Kuu ya Afrika Kusini ( PSL ) ni miongoni mwa Ligi 'ghali' sana Duniani ndiyo maana hata Wachezaji wao wengi wakitakiwa na Vilabu vikubwa vya Nje huwa hawataki kwenda na wengi Wao husema kama ni Pesa nyingi hata Kwao Afrika Kusini katika Ligi Kuu yao huwa wanalipwa vile vile.
GENTAMYCINE sijaanzisha huu Uzi ili Kuwatisha Simba SC ( ambayo Mimi pia ni Shabiki wake ) ila nimeona nitahadharishe hili mapema tusije kuendelea 'Kudanganyana' halafu tukipata 'Vipigo' mfululizo Johannesburg ( Jozy au Gauteng ) na Dar es Salaam ( Bongo ) tukaanza kutafuta 'Mchawi' wakati ukweli ni kwamba Kudharau, Kubweteka na Kujiamini Kwetu kupitiliza ndizo zitakuwa sababu Kuu.
Yangu ni haya tu kwa hii leo akhsanteni.
Wazulu wametukojolesha Vinne tu jana.Embu tupeni matokeo, mimi nilikua busy sikufuatilia mpira jana
[emoji1732][emoji1732][emoji1732]Kama Simba ni underdog basi Utopolo ni underfrog...
mmeshinda [emoji23][emoji23]ingia kwenye kurasa zao uone wanavoihofia simba ndo utajua tushashinda kabla ya mchezo
[emoji23][emoji23]Tutawageuza "under PAKA" tunawapiga nje ndani
Wewe si ndio unaleta story kuwa ili timu ishinde inabidi wafanye vitu fulani kwa maagizo ya wagangaAcha ( Acheni ) Watucheke tu kwani tumefungwa Kipumbavu sana na Complacency kwa Wachezaji wetu imetugharimu na bado tunapenda Kuishi Kienyeji Kienyeji ( Kimazoea ) wakati Mpira wa sasa duniani umebadilika mno na ni wa Kisayansi zaidi kuliko Wetu wa kuamini tu Uchawi na Fitna za nje ya Uwanja ( hasa ile ya Kuwapulizia ) Wapinzani 4-4-2 Vyumbani mwao. Tubadilike!!