Namtafuta The Boss

Namtafuta The Boss

THE BOSS yupo lupango na NIFAH wake, walikuwa n verified users hapa (yaan wanatambulika, etc) basi wakawa na mgogoro na Jamii Media, yaani post zao zilikuwa zinapotezwa juu kwa juu..kwahyo kuna uzi wakaaga wote kwa pamoja..kumbe walikuwa wanafuatiliwa na team lumumba walioko humu ambao kazi yao ni kuchabo nani anamsnitch mkulu.

Unayemsemea ni The Bold sio The Boss

Halafu sidhani kama walikuwa verified users
 
Back
Top Bottom