Namtafutia mamdogo wangu Mume wa kumuoa kisiri bila yeye kujua

Kumbe sio mtu yoyote, lazima awe mkristo na muajiriwa serikalini. Sisi wamchinga na Mayakhe hatuna nafasi
 
Mtoa post ni me au ke?
 
Akili ya mbu
 
ni kitu kinampa sana frustration nimeandika hivi sababu naelewe real situation
Waweza kuwa na nia njema . Sasa mama mdogo mwenyewe apunguze usabato na ubosi ajichanganye na watu wa kawaida . Hao ndiyo waoaji na wazalishaji. Lakini akitaka wa levo na rika lake hao tayari wana majukumu na miji yao.

Pili kwa kuwa mnaaminiana naye mtanie tu kuwa "Mama nataka uncle na mdogo wangu" . Ili usikie opinion yake isijekuwa ni sister kidini.

Odhis *
 

[emoji41][emoji41]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…