Shadow7
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 24,606
- 39,289
niko tayari, mtanipa shingap?
๐ ๐ ๐ ๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
niko tayari, mtanipa shingap?
Hebu picha yake tujue namna ya kufanya
waseme wananiachaje maana hii risk, uyu ni mtu kashindikana hata kwa wabakaji๐ ๐ ๐ ๐
Wakupe hata 100k ya soda aisee!waseme wananiachaje maana hii risk, uyu ni mtu kashindikana hata kwa wabakaji
Hahahahah Mungu anakuona we jamaawaseme wananiachaje maana hii risk, uyu ni mtu kashindikana hata kwa wabakaji
Kupata mtoto ni lazima aolewe?amina sana nimeona acha nilibebe kwa usiri furaha yake apate mtoto
Daahh [emoji102][emoji23][emoji1787]waseme wananiachaje maana hii risk, uyu ni mtu kashindikana hata kwa wabakaji
Hatongozwi? Basi ana tatizoshida yake mtoto kuolewa majariwa
Huyu mume aweje?.au ndo yale yale ili mradi anapumua??.habari ndugu zangu!
Poleni kwa msiba wa Taifa!
Nina mamdogo yangu kipenzi umri unazidi kwenda yuko 39 anatamani sana kuzaa ikiwezekana hata ndo ila hakuna tumaini lolote.
Nina uhakika yuko tayari kuwa na mtu yeyote atakayetokea kikubwa apate mtoto.
Lengo la kuandika uzi huu ni kumpata kijana yeyote au mwanaume tutakayepanga namna aweze kumpatia ujauzito mamdogo wangu kipenzi.
sifa za mamdogo yangu.
Ni mkiristo
muajiliwa serikalini
39 years
very charming
black coulour
ana sura ya kawaida huwezi kumuweka katika pisi kali pia hana sura mbaya.
Ahadi yangu kwa bamdogo mtarajiwa ntampa ushirikiano wote na nitampenda na kumuheshimu milele.
this is very serious aliyeko tayari anichek
hapo sawaWakupe hata 100k ya soda aisee!
Mimi nipo tayari kumpelekea Moto [emoji91] hadi apate anachokitaka lkn lazima kupima afya,na je yupo mkoa gani?. Halafu iwe ni kumumimbisha tu.Msaidieni hata mbegu basi apandishie hospital sio lazma ulale nae kama hakupendez kimuonekano[emoji4]
Asiwe charming kivipi wakatu magharibi imeshaingiavery charming
Mbona heading Kama inamakosa na ulichokieleza hapo chini!habari ndugu zangu!
Poleni kwa msiba wa Taifa!
Nina mamdogo yangu kipenzi umri unazidi kwenda yuko 39 anatamani sana kuzaa ikiwezekana hata ndo ila hakuna tumaini lolote.
Nina uhakika yuko tayari kuwa na mtu yeyote atakayetokea kikubwa apate mtoto.
Lengo la kuandika uzi huu ni kumpata kijana yeyote au mwanaume tutakayepanga namna aweze kumpatia ujauzito mamdogo wangu kipenzi.
sifa za mamdogo yangu.
Ni mkiristo
muajiliwa serikalini
39 years
very charming
black coulour
ana sura ya kawaida huwezi kumuweka katika pisi kali pia hana sura mbaya.
Ahadi yangu kwa bamdogo mtarajiwa ntampa ushirikiano wote na nitampenda na kumuheshimu milele.
this is very serious aliyeko tayari anichek