Namtafutia mamdogo wangu Mume wa kumuoa kisiri bila yeye kujua

Mkuu Tajirimsomi wewe hii ya upweke umeshapata suluhu?

 
Huyu mume aweje?.au ndo yale yale ili mradi anapumua??.
 
Mkuu kwahy unataka kutuambia yy hana mwanaume kabisa wa kumchakata au hajawai kuchakatwa kabisa maana kama anachakatwa na uzazi upo fresh angekua amesha zaa au kalelewa usipite hapa kuna mbwa wakal
 
Mbona heading Kama inamakosa na ulichokieleza hapo chini!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…