Namtafutia mchumba (mwanaume) rafiki yangu

Status
Not open for further replies.
31yrs bado binti mdogo tu, atapata hitaji lake japo screening na sorting ya nguvu inahitajika, hasa kupitia jukwaa hili manake vijana nao wana yao mengi siku hizi.

Kila la heri kwake.
 
31yrs bado binti mdogo tu, atapata hitaji lake japo screening na sorting ya nguvu inahitajika, hasa kupitia jukwaa hili manake vijana nao wana yao mengi siku hizi.

Kila la heri kwake.
Sure
 
hahahaha unajua kila mtu ananjia zake huwezi jua labda mimi nikawa daraja lake..maana hata leo kanikumbushia...
Wanaume wanaogopa watu waliowazidi vitu fulani labda shoga ndo anapokwama hapo..
Ila humu kuna watu wapo aggressive na wana uthubutu


Mwambie kuna mazingira nje ya kazi asijiweke kibosi bosi sana. Ila wasifu wa mabosi wa kike.
Mungu ampe hitaji lake
 
Uzuri wa matusi ya hivi ndio mwanzo wa kutambua uhalisia wa mtu...Mimi ni kijana imara tena nilienda jando kwa ukakamavu kabisa sasa haya maneno yako ni sawa na kichaa anaejaribu kujaza maji baharini...I told you once umepotea na hii ni dhahiri wewe ni kahaba na unampambania kahaba mwenzio...hivyo umeula wa chuya pole
 
Kay mpotezee bana tuendelee kucheki husband matirioz hapa akitokea anaeleweka namuovertake rafiki ako
Huyu ni msengee si unaona alivyokuja eee kwa shari ameanza yeye sasa mimi namalizia
 
Njoo PM. Hii nafasi nimeisubiri kwa muda mrefu sana.
 
Nafikiri una mtoto kama si watoto hivyo hizi laana zirudi kwa hao wanao na hakika mungu atalisimamia hili mama ake na shoga pamoja na wasagaji
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…