Namtafutia mchumba (mwanaume) rafiki yangu

Status
Not open for further replies.
average msichana anaolewa akiwa na miaka 28,i saw it somewhere,so miaka 31 hajachelewa.

Miaka 28 ni age kubwa.

Kina dokta mwaka wanatajirikia kwenye matatizo ya uzazi ya wanawake,, kwa sababu hizo za jamii kuchelewesha ndoa.

Binti umri unavyozidi kwenda anapungua uwezo wa kubeba mimba.

Binti akishavunja ungo na kupata hedhi yake ya kwanza. Anashauriwa asizidi miaka 10 mbele bila kubeba mimba yake ya kwanza
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] duuuuh
 
Sis pls

Au unataka kusmell harufu ya ban ? 😂😂
 
Mkuu hio miaka 28 ni average ya umri wasichana wanaolewa katika population.....miaka 31 bado ana uwezo wa kubeba mimba bana....
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Km kaweza kufikia hatua ya kufungua kampuni kupata mwanaume ndo kashindwa duuh BRELA wanalakujibu apo
 
Km kaweza kufikia hatua ya kufungua kampuni kupata mwanaume ndo kashindwa duuh BRELA wanalakujibu apo
Brela waweke kipengele cha umeoa au hujaoa?.
Na kama hujaoa au kuolewa why? Hahah
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…