Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KhaaaaaUmalaya tu na ushoga vinakusumbua. Kwani hamna wanaume wanaokumendea pia mbona huwasemi.
Naomba namba yake..halafu mjulishe poti JERRY Msigwa nitakachomfanya anajua
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Umalaya tu na ushoga vinakusumbua. Kwani hamna wanaume wanaokumendea pia mbona huwasemi.
Mambo ya kawaida hayo acha ushamba dogoHabari wana jukwaa LA mapenzi mubashara,in nature Mimi ni mwanaume mpole sana mwenye aiba na sio muongeaji sana,
Sasa hapa mtaani kuna Demu naona anapata shida sana
1:Akiniona tu ataniangalia kwa tabasamu hadi nazama
2:Nikipita tu ataniomba anisindikize ninapo kwenda
3:Akiwa ana kitu nikipita ataniomba nimsaidie hata kma kidogo
4:nikishika kitu nakula ataniomba tu
5;Nikipita karibu yake atafanya chochote nimuangalie hata kunigusa
6:Nikishika kitu atakirukia tu nimuachie
7:ananiangalia hadi wenzake wanamshitua
8:Anapenda kuniomba vitu
Kusema ukweli namuona kabisa ana teseka juu yangu na uyu sio mwanamke wa kwanza kunifanyia mambo aya
HahahaUmalaya tu na ushoga vinakusumbua. Kwani hamna wanaume wanaokumendea pia mbona huwasemi.
We punga