Namuacha mpenzi wangu kisa DP WORLD

Namuacha mpenzi wangu kisa DP WORLD

nna jamaa yangu mmoja yupo huko anazitafuna sana aisee[emoji23]

ana sura ngumu lakini wapi[emoji23]

UVCCM ni hataree nina sisy angu kuna cheo aligombea, kuna mtu mjinga mmoja tu anataka papa haelewi kitu, hata rushwa ya pesa hataki yeye kakomalia papa tu!!!!!

Nikiona mdada ana nafasi flani chamani ujue kuna boya kajilia kei [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Habari waungwana!

Baada ya familia kunikomalia nioe nikaona nianze msako ,dada yangu mmoja ni lecturer akanilengeshea kwa ka mwalimu ka sekondali (jina kapuni) Basi baada ya kutumiwa picha akaomba tuonane .


Hapa leo siku ya pili sipokei simu yake sitaki hata kumuona shetani mkubwa huyu.
Ruhusu ndoa iendelee achana na mambo ya vyama
 
Habari waungwana!

Baada ya familia kunikomalia nioe nikaona nianze msako ,dada yangu mmoja ni lecturer akanilengeshea kwa ka mwalimu ka sekondali (jina kapuni) Basi baada ya kutumiwa picha akaomba tuonane .
Vigezo alivonivutia
u.
Safi sana. Nchi inajengwa na wahafidhina wazalendo, piga chini huyo akaolewe na makatibu waenezi uvccm huko
 
Nakushauri angalia kama unapata furaha na upendo na mna pendana hayo mambo ya chama chukulia kma nikukubaliana mambo ambayo hamkubaliani
Hamuwezi kukubaliana kila jambo unless otherwise muo mnautindio wa akili
 
Ulitakiwa kumkinaisha kwa hoja, sio kumkimbia physically. Hakuna mtu anaejielewa ambae mutakuwa na idea sawa katika kila issue.
Kuna watu wawili tu duniani ambao ata utumie nini kuwaelewesha jua unatwanga maji kwenye kinu

1. Mwanamke Mlokole

2.Mwanamke mwanachama wa CCM

sio hawa wanaenda kwenye mikutano kisa njaa na ata mwenyekiti wa chama hawamjui, elewa neno Mwanachama

Mara mia waingie kwenye hivo vitu wakiwa kwenye Ndoa teyari ila usilogwe ukawakuta navyo

Kama unaoa we OA tu, at your own risk. ila mara nyingi ni Bomu la kuchimbiwa chini
 
Nakushaurj angalia kama unapata furaha na upendo na mna pendana hayo mambo ya chama chukulia kma nikukubaliana mambo ambayo hamkubaliani
Hamuwezi kukubaliana kila jambo unless otherwise muo mnautindio wa akili
Exactly, vyama ni kama timu za mpira tu.
 
Back
Top Bottom