Namuacha mpenzi wangu kisa DP WORLD

Mmmmmhhhhhhh kwa USHABIKI huu ni bora ukamwacha binti wa watu....

Anayekwambia MKATABA WA BANDARI MBOVU akiingia Ikulu NAYE atafanya ya kwake....


Wewe unataka kujenga familia yako au unataka kujenga familia ya TAIFA???

Kama ni mtu sahihi OA!!! Upate mke...
 
Hebu kuwa mzalendo we mwanamke eboo.nyerere angewaza kama ww ungekuwa unalipia hiyo hewa.komment hii meandika kwa kukalipia huku mate yanaruka
 
Mzee wanawake wenye akili na nidhamu ni WA kumulika na tochi...acha siasa kwenye mapenzi. Kama anakuheshimu na ana akili oaaaa
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]waovu wamevurugwa
 
.....
 

Attachments

  • giphy (1).gif
    221.2 KB · Views: 2
Me enyewe kuna pisi nataka niitongoze lkini jana nimeiona imevaa gwanda za uvccm sina hamu nayo tena..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…