Namuhitaji COUGAR.

Akishakua na hela unadhani hivyo vigezo vingine utavichagua kama dini nk, yani kwa ufupi umechagua maisha ya utumwa maisha ya kulelewa, mwanaune hutafuta na huleta nyumbani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi nimekuelewa semba watu wengi wa JF wanakasumba flani hivi kila wakisikia kijana anataka Dada kubwa hata kama una kazi yako wao hawatakuelewa watasema unataka kulelewa

JF bhana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi unafahamu kwamba "sio mara zote jalada la kitabu, uwakisi yaliyomo ndani ya kitabu?".

Mimi nadhani ungepita kimya kimya, pengine ingekusaidia zaidi. Kuliko kupoteza muda, kumjaji mtu usiyemfahamu.
Akishakua na hela unadhani hivyo vigezo vingine utavichagua kama dini nk, yani kwa ufupi umechagua maisha ya utumwa maisha ya kulelewa, mwanaune hutafuta na huleta nyumbani

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 


Hahaa. Acha nikaoshe vyombo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…