Maandiko ktk vitabu vya dini yanasemeje kwa vijana wa type hiziKila la heri kwenye kulelewa mkuu
Usijali mkuu haujanikwazaAina shida, uwe na jioni njema mkuu.
Kama nimekukwaza kwa maneno yangu, naomba NISAMEHE PIA.
Sent using Jamii Forums mobile app
Akishakua na hela unadhani hivyo vigezo vingine utavichagua kama dini nk, yani kwa ufupi umechagua maisha ya utumwa maisha ya kulelewa, mwanaune hutafuta na huleta nyumbaniHabari wanajamii.
Mimi ni kijana 28yrs, tall-white, self-employed (najiweza).
Nahitaji mwanamke wa age 30-45 (awe vizuri financially). Sichagui dini, rangi wala kabila....hata kama una mtoto/watoto. We njoo pm tuzungumze, tutaelewana tu.
Welcome PM.
Sent using Jamii Forums mobile app
Waacheni watoto wadogo waje kwangu wala msiwazuie kwa maana walio mfano wa hao, ufalme wa mbinguni ni wao.
Mi nimekuelewa semba watu wengi wa JF wanakasumba flani hivi kila wakisikia kijana anataka Dada kubwa hata kama una kazi yako wao hawatakuelewa watasema unataka kulelewaAsante mkuu. Ila umekosea kitu kimoja, ambacho ni kuweka neno "kulelewa".
Nadhani nilichokiandika kinasomeka vizuri, nimeweka wazi kwamba mimi ni "self-employed". Tena nikakazia kwenye mabano kwamba NAJIMUDU. Sinadhani kama, kuna eneo nimeandika "nataka au naomba kulelewa".
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona hutaki kumlea kijana milioni sio pesaUsijali mkuu haujanikwaza
Sasa baba paroko mbona unanigeuka jamani we umeniambiaje hapo juu[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] Nani kakuambia ni mtoto huyu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mm mwenyewe natafuta kulelewa na babu mwenye hela zake
[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] Msaidie basi mtoto anataka hifadhiSasa baba paroko mbona unanigeuka jamani we umeniambiaje hapo juu
Mwenyewe nataka kuja kwako arusha mzee wa mafuta unilee[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] Msaidie basi mtoto anataka hifadhi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hutaki vijana kama mimi nitakupa sadaka zote za ibada ya kwanza na ya pili kila jumapili mpaka tujenge nyumbaMm mwenyewe natafuta kulelewa na babu mwenye hela zake
Akishakua na hela unadhani hivyo vigezo vingine utavichagua kama dini nk, yani kwa ufupi umechagua maisha ya utumwa maisha ya kulelewa, mwanaune hutafuta na huleta nyumbani
Sent using Jamii Forums mobile app
Unashauriwa kutokana na ulichoomba ushauriwe,Hivi unafahamu kwamba "sio mara zote jalada la kitabu, uwakisi yaliyomo ndani ya kitabu?".
Mimi nadhani ungepita kimya kimya, pengine ingekusaidia zaidi. Kuliko kupoteza muda, kumjaji mtu usiyemfahamu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Exactly upo sahihi mkuu. Nadhani ni issue ya kasumba tu, ipo siku itapotea pia, kama zilivyopotea nyingine.Mi nimekuelewa semba watu wengi wa JF wanakasumba flani hivi kila wakisikia kijana anataka Dada kubwa hata kama una kazi yako wao hawatakuelewa watasema unataka kulelewa
JF bhana
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa wewe mwanaume mzima unaweka bandiko la sampuli hii unataka uwambiwe nini, unanichagulia cha kukuambia ama, kama limekuuma ndiyo ukweli huwa unauma ofcourse
Khaa!! We ndugu, bado upo tu kwenye uzi huu!!!! Me nilijua umesha move on, na kuendelea na mambo yako mengine. Au hauna kazi???.
Maana kitendo cha kuendelea kuonekana hapa, ni wazi una JAMBO. Sasa nadhani ni vema ungeliweka wazi, ili nijue au watu wajue namna gani usaidie, na sio kuanza kukashifu uzi wa mtu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah kumbe wewe ndio cougar?!! Sorry sikulijua hilo mapema. Ningelijua nisingebishana na aunty.Sasa wewe mwanaume mzima unaweka bandiko la sampuli hii unataka uwambiwe nini, unanichagulia cha kukuambia ama, kama limekuuma ndiyo ukweli huwa unauma ofcourse
Sent using Jamii Forums mobile app