Ewaaaaa.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Itabidi avumilie si anataka slope
Duh kwa hiyo wewe ni gigolo?Habari wanajamii.
Mimi ni kijana 28yrs, tall-white, self-employed (najiweza).
Nahitaji mwanamke wa age 30-45 (awe vizuri financially). Sichagui dini, rangi wala kabila....hata kama una mtoto/watoto. We njoo pm tuzungumze, tutaelewana tu.
Welcome PM.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa nakuja pmDah kumbe wewe ndio cougar?!! Sorry sikulijua hilo mapema. Ningelijua nisingebishana na aunty.
Welcome pm, tumalizane mapema.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nishakuanza mimi, ingia utanikuta. Then naomba tu unijibu Aunt....wala usinibrok please.
Ahhahha kumbe nawe limekutach hilo. Ila naomba usisahau kwamba, KUPANIC HADHARANI, ni fedhea kubwa.
Unajua siwezi bishana na watu wa aina yako, kitu nilichoshangaa nakuona una laana eti umekuja PM kabisa nakuanzisha mtongozo ngoja ni screen shot niweke hapa ili watu waone ujinga wako, kwenye jamii kweli kuna watu wanashangaza sana, nimegundua una matatizo ya akili, sasa huu nao ni uzi useme mtu upime cha kukoment hebu jiangalia umeingia lini jf na ungalie mimi nipo humu tangu kipindi gani, hakuna mtu asiejua kutukana ila tunajistili tu.Ahhahha kumbe nawe limekutach hilo. Ila naomba usisahau kwamba, KUPANIC HADHARANI, ni fedhea kubwa.
Ahahaha huu mchezo hauhitaji hasira. That's way nikakuita pm tuyamalize kimya kimya. Ona sasa unaumbuka hahahaha
Siku nyingine punguza papala ndugu, wenzio tuna soma kwanza heading ya Uzi, ndio tunafanya maamuzi niingie au lah na hata ukiingia unatafakari tena, je ni comment au lah. Sio unakurupuka tu as if bwabwa, afu bad enough unaandika shit.
Ahahahha nadhani dose imekutosha kwa leo, nenda kalale sasa na sifa zako za kimbiji. Bye
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua siwezi bishana na watu wa aina yako, kitu nilichoshangaa nakuona una laana eti umekuja PM kabisa nakuanzisha mtongozo ngoja ni screen shot niweke hapa ili watu waone ujinga wako, kwenye jamii kweli kuna watu wanashangaza sana, nimegundua una matatizo ya akili, sasa huu nao ni uzi useme mtu upime cha kukoment hebu jiangalia umeingia lini jf na ungalie mimi nipo humu tangu kipindi gani, hakuna mtu asiejua kutukana ila tunajistili tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua siwezi bishana na watu wa aina yako, kitu nilichoshangaa nakuona una laana eti umekuja PM kabisa nakuanzisha mtongozo ngoja ni screen shot niweke hapa ili watu waone ujinga wako, kwenye jamii kweli kuna watu wanashangaza sana, nimegundua una matatizo ya akili, sasa huu nao ni uzi useme mtu upime cha kukoment hebu jiangalia umeingia lini jf na ungalie mimi nipo humu tangu kipindi gani, hakuna mtu asiejua kutukana ila tunajistili tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Vipi kijana, umeshapata wa kukulea....au bado?.Habari wanajamii.
Mimi ni kijana 28yrs, tall-white, self-employed (najiweza).
Nahitaji mwanamke wa age 30-45 (awe vizuri financially). Sichagui dini, rangi wala kabila....hata kama una mtoto/watoto. We njoo pm tuzungumze, tutaelewana tu.
Welcome PM.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwasababu, sinaga hobby na wanawake wadogo. Ila hata pale nilipojaribu kuwa nao, kweli sikuenjoy maisha kabisa. Wengi wao ni wahuni tu, full attentions zisizo na kichwa wala miguu.
Wapo waliokuja pm from day one, ila sikuwaelewa kabisa.