kwamtoro
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 4,922
- 3,239
Nitagombea uongozi mkubwa katika nchi hii. Naitaji mke wa mkataba mwenye sifa zifuatazo. Awe na mvuto kwa jamii. Ajue kingereza vizuri, mcheshi, mwanaharakati, awe mvumilivu kisiasa. Umri wake uwe kati ya miaka 35 na 40. Kama ana mtoto, mtoto wake wa mwisho awe na zaidi ya miaka 8. Dini yeyote. Ndoa itakuwa ya kimila au bomani.
Mwenye sifa ani PM. Mwisho Tarehe 31/01/2013
Mwenye sifa ani PM. Mwisho Tarehe 31/01/2013