Namungo FC 2-2 Simba SC | NBC Premier League | Ilulu Stadium

Kibuuuuuu, Kishuti kidogooo eti kinaingia kambani.

Itakuwa Julio kashawaambia kuwa mzigo upo tayari
[emoji23][emoji23]aaaa kabisa...kawaambia muhamala tayari ushafanywa..
 
Goooooooooal
Simba anapata goli LA tatu dk ya 99
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kucheka cheka na vitoto haturuhusu

Vikitoka hapo vianze kuwatambia vitoto vyenzao "afunga akaka, afunga akaka"
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] chaliiiii. Biduuuuuu
 
Unakataa kupewa mimba na mayele unakubali kupewa mimba na masawe!! Matokeo halali ni Namungo 3-2 kolo fc
 
Yaani timu nzima inaweza kumkamia Fiston Mayele tu! Leo asingekuwa mwamuzi, tungekuwa tunaongea habari nyingine!

Maana lile goli la tatu la Chirwa, Manula aliamua tu kusimama ili asije kuvunjika nyonga.
Kibandani kila mtu alikuwa anashangaa kwamba Manula alikuwa anaenda wapi na lengo lake ilikuwa ni nini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…