Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,797
- 28,904
Kwahyo progress mliyonayo mpaka sasa mna kombe la robo fainali mbili
Usije ukidhani kufanikiwa au mafaniko ni kubeba Taji tu
Kufanikiwa kwa Timu ni Progress ukilinganisha na misimu ya nyuma
Kuna any positive changes unaziona Kama ni yes basi ni mafaniko hayo.