Namungo FC 2-2 Simba SC | NBC Premier League | Ilulu Stadium

31' Simba SC wanashambulia sasa lango la Namungo.

Banda, Kagere na Kibu, wanashindwa kufunga bao baada ya kutokea piga nikupige lango la Namungo.

Namungo FC 1-0 Simba SC
 
Daaah maskini... Hivi hawa washambulizi wa Simba wana mgomo wakutia mpila kimiani
 
Makolo muli Bwanji
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…