Namungo FC 2-2 Simba SC | NBC Premier League | Ilulu Stadium

Namungo FC 2-2 Simba SC | NBC Premier League | Ilulu Stadium

Benchi la ufundi la Namungo lina upuuzi mwingi sana! Wangemtoa Molinga na kumuingiza kiungo mshambuliaji, wangeondoka na ushindi kwenye hii mechi.

Kumchezesha washambuliaji wawili; Lusajo na Molinga asiye na control yoyote ile ya mpira, wala kunyumbulika, ni upumbavu wa kiwango cha juu sana.

Wakifungwa kwenye hii mechi watakuwa wamejitakia wenyewe.
Gombea ukocha
 
Benchi la ufundi la Namungo lina upuuzi mwingi sana! Wangemtoa Molinga na kumuingiza kiungo mshambuliaji, wangeondoka na ushindi kwenye hii mechi.

Kumchezesha washambuliaji wawili; Lusajo na Molinga asiye na control yoyote ile ya mpira, wala kunyumbulika, ni upumbavu wa kiwango cha juu sana.

Wakifungwa kwenye hii mechi watakuwa wamejitakia wenyewe.
Mi naona Namungo kazidiwa huwezi kusema kua wakishindwa kufunga wajilaumu mi naona Makolo wakiwa makini wanashinda goli nyingi tu
 
Aliyemsajili Kibu sijui alifikiri nn, jamaa hata kutuliza mpira hawezi
 
45+2' Kuendelea kuwa mapumziko

Naaam mpira ni mapumziko ambapo Timu zote mbili zinakwenda zikiwa zimefungana bao moja kwa moja

HT: Namungo FC 1-1 Simba SC
 
Ili yule mamluki wenu Julio aniroge? Amemshawishi kocha mkuu kumpanga Molinga ambaye hata kukimbia tu hawezi!

Hata kwenye mechi dhidi ya Yanga nilipomuona tu kwenye First Eleven nikajua tunashinda mechi! Na ikawa kweli. Kiufupi tu Molinga ni zaidi ya garasa.
Kwani mechi ya utopolo molinga hakuanza mechi?
 
Namungo baki Basi katikat na piga Paz had kipind Cha dkk 75 HV alfu weka bas nyuma kabsa kutoka kumi nananae
 
Back
Top Bottom