Huyo Molinga ndiyo kirusi anayeua mfumo wa uchezaji wa kasi wa Namungo! Wakiendelea kumchezesha, Lusajo hatokuja afunge tena! Maana inamlazimu kushuka, au kwenda pembeni kutafuta mpira.Kwani mechi ya utopolo molinga hakuanza mechi?
Hiyo kona hatariHaya magoli anayofungwa Manula, kwa kipa serious anaokoa
Najua lakini inatakiwa unaupdate matokeo coz MTU ambaye ndo ameuona Uzi ilikua inasomekaInaendelea mkuu...! Pitia Utaona
Hahahaaa. Mwishowe watasema umewachawia.Siwezi Kulikana Chama Langu Najua Mkijitahidi Ni Sare Tu Mtapata.
Barcelona ya BonyokwaKibu anakiwango cha kucheza Barcelona bonge la mchezaji
Barcelona ya bongo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Barcelona ya Bonyokwa
Tucheke Tu Ndugu Yangu Maana Hakuna Namna [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Naombeni mniruhusu nicheke jamani. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] njaaMechi hii simba anashinda