Namungo FC 2-2 Simba SC | NBC Premier League | Ilulu Stadium

70' Ameingia Bocco, akichukua nafasi ya Banda, upande wa Simba SC
 
Em Tuongee Ukweli Tu Ndugu Zangu Hivi Huyu Manula Anastahili Kupewa Sifa Anazopewa Eeeh? Em Angalia Hili Goli La Tatu Alilofungwa Liliokolewa Na Refa Sasa Alikuwa Anaenda Wapi Pale Mpk Anafungwa [emoji23]
 
Japo Watapoteza hii Mechi. NMG Wameona wajitafutie mapema Magoli ya Kufutia Machozi
 
Yaani Beki unamweka forward ndani na mpira una control ndani unapigwa push mtu anakandamiza msumari refa unakataa goli ni upuuzi wa kiwango Cha lami.
Ivi Beki kama Inonga anatulizaje mpira kwenye njia ya opponent wako!! Amshukuru refa ame mmbeba la sivyo ni kosalake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…