Katika kuonyesha kuwa Klabu ya Namungo inaelewa Mchezo mzima wa Jezi Nyeusi za Timu Moja nayo imeweka wazi kuwa Jumatano itavaa Jezi zao Nyeusi na kama kuna Timu inataka Kuvaa Jezi Nyeusi za Mganga wao wa Kienyeji basi wawalipe Tsh Milioni 200.
Hata hivyo mpaka Mleta Uzi anaenda Mitamboni bado wapenda Kuvalia Jezi Nyeusi za Mganga wao wa Kienyeji walikuwa bado hawajaamua kama wakubali kutoa Kiasi hicho cha Fedha kwa Namungo FC ili Washinde wawaache Simba SC kwa Alama Nne au wasizivae kisha Wafungwe au Watoke Sare ili tofauti ya Alama iwe ni Moja au Mbili.
Hata hivyo mpaka Mleta Uzi anaenda Mitamboni bado wapenda Kuvalia Jezi Nyeusi za Mganga wao wa Kienyeji walikuwa bado hawajaamua kama wakubali kutoa Kiasi hicho cha Fedha kwa Namungo FC ili Washinde wawaache Simba SC kwa Alama Nne au wasizivae kisha Wafungwe au Watoke Sare ili tofauti ya Alama iwe ni Moja au Mbili.