joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Wanfiti kwani mnacho zungumzia si kubebana? Maana msimu huu hamjiamini akili yenu ipo huko tunawapa mifano mnasema hamna balance.Definition ya tawi ni kuwa unamfunga leo, kesho na keshokutwa, yaani kila unapojisikia na siku mnatoka sare au anakufunga ni pale matokeo hayo hayana athari kwako.
Kwa kusema hivyo, ili nisipoteze muda kurudia nilichosema, rudia post #11 kuhusiana na Namungo, Coastal na Azam halafu niambie kama wanafiti kwenye definition hiyo.
Kama ni kubebana inakuwaje sasa Coastal alazimishe sare katika msimu ulio tight kama huu? Inakuwaje Namungo alazimishe sare na Simba wakati iko katika mbio za ubingwa? Inakuwaje Azam alazimishe sana na amfunge Simba tena na tena misimu ya hivi karibuni na kutibua harakati zake za ubingwa? Kama hayo ndiyo matawi yake basi Simba inabidi ijitafakari sana.Wanfiti kwani mnacho zungumzia si kubebana? Maana msimu huu hamjiamini akili yenu ipo huko tunawapa mifano mnasema hamna balance.
Sare kipa wako mwenyewe si alikuwa na wenge watubwalikuwa wanajipigia kimasihala yy anaachia, kaangalie highlight ya magoli yote na Coastal likiwemo na la Shabalala. Azam offside mbili hamkupiga kelele kama mmpendelewa,JKT Ruvu na Dodoma jiji refa kafunika penalty hata hazieleweki. Mna penalties kibao,dk za nyongeza mnajipimia kuna siku zitaongezwa 45.Watu hatulalamiki na kesho Mgunda kama kawa hato wakela.Kama ni kubebana inakuwaje sasa Coastal alazimishe sare katika msimu ulio tight kama huu? Inakuwaje Namungo alazimishe sare na Simba wakati iko katika mbio za ubingwa? Inakuwaje Azam alazimishe sana na amfunge Simba tena na tena misimu ya hivi karibuni na kutibua harakati zake za ubingwa? Kama hayo ndiyo matawi yake basi Simba inabidi ijitafakari sana.
Bado nasubiri mfano walau mmoja wa Yanga kufungwa na tawi la GSM ili haya matawi ya GSM nayo tuyaangalie kwa jicho lingine.
Sare kipa wako mwenyewe si alikuwa na wenge watubwalikuwa wanajipigia kimasihala yy anaachia, kaangalie highlight ya magoli yote na Coastal likiwemo na la Shabalala. Azam offside mbili hamkupiga kelele kama mmpendelewa,JKT Ruvu na Dodoma jiji refa kafunika penalty hata hazieleweki. Mna penalties kibao,dk za nyongeza mnajipimia kuna siku zitaongezwa 45.Watu hatulalamiki na kesho Mgunda kama kawa hato wakelaKama ni kubebana inakuwaje sasa Coastal alazimishe sare katika msimu ulio tight kama huu? Inakuwaje Namungo alazimishe sare na Simba wakati iko katika mbio za ubingwa? Inakuwaje Azam alazimishe sana na amfunge Simba tena na tena misimu ya hivi karibuni na kutibua harakati zake za ubingwa? Kama hayo ndiyo matawi yake basi Simba inabidi ijitafakari sana.
Bado nasubiri mfano walau mmoja wa Yanga kufungwa na tawi la GSM ili haya matawi ya GSM nayo tuyaangalie kwa jicho lingine.
Anataka kuonyesha yeye ni untouchable ndiyo maana anafanya hayo mambo hadharani. Huyu dawa yake ni kumfunga vizuri tu yeye na vibaraka wake na asichukue ubingwa, adabu itarudi tu mbona.Mechi 11 zilizopita na Namungo Simba ameshinda 6 na Draw 5.
Tuwekee mechi za Singida na Yanga hata 10 tu.Wacheni kujaribu kubalance.Namungo hata mechi moja hajawahi kuiachia Simba au kupanga matokeo.
Rais wenu jana mpaka kavunja kanuni ya kutoingia uwanjani ili awashukuru wachezaji wa Singida Black Stars.Haijawahi kutokea duniani Kiongozi wa timu pinzani anaingia uwanjani kuzungumza na kucheka na timu pinzani iliyotoka kupoteza mechi.Huwezi kupoteza harufu ya mavi kwa kujaribu kuimwagia manukato.Harufu ya mavi haifichiki.
🤣 Kwani ligi ya tz ilianza kubadilika lini boss… ligi ya tz tunaijua huo ndo mwenendo wenu…coz team zote zinazo shiriki ligi kuu tz watu wao ni mashabiki wa hizi team mbili za K/koo, leo unasema hivi wakati haijawai badilika buda… cha msingi kila mtu ana tawi lake ikifika wakati wa simba waongee na watu wao kwenye team husika ikifika wakati wa ya ga pia wafanye ivyo coz soccer lenu mnalijua wenyewe.Wale wanaopiga kelele juu ya yanga na singida pia kelele zao wazielekeze kwenye mechi ya Namungo na Simba! Pale yupo kocha juma mgunda ambae sikumbuki ni lini aliwai kumfunga Simba akiwa anafundisha timu yoyote Ile, ata sare huwa hapati!
Namungo wenyewe ni tawi mojawapo la kolo likifadhiliwa na waziri mkuu ambae ni mwanachama hai wa kolo, kesho wanacheza na Simba lakini akuna ahadi yoyote iliyotolewa ili wapate ushindi but ikicheza na yanga ahadi uwa ni za kumwaga!
Tunakwenda kushuhudia kile tulichokishuhudia kule tabora,,aitokuwa mechi bali uchafu!
Kwa maana iyo Kila timu ishinde mechi zake na wale wabwekaji wafunge mabakuri yao akuna kucheka na kima sasa hivi ukitumia panga tunatumia shoka,,bampa to bampa mpaka kitaeleweka!
Yaani ndiyo utetezi wako huu?Sare kipa wako mwenyewe si alikuwa na wenge watubwalikuwa wanajipigia kimasihala yy anaachia,
Game katikati ya uwanja ndio huwa inatoa picha kamili, utopolo na jiiesiemu wanaharibu mpira wa bongo,nashauri jiiesiemu wafungiwe kutoa uzamini na kujihusisha na sokaWale wanaopiga kelele juu ya yanga na singida pia kelele zao wazielekeze kwenye mechi ya Namungo na Simba! Pale yupo kocha juma mgunda ambae sikumbuki ni lini aliwai kumfunga Simba akiwa anafundisha timu yoyote Ile, ata sare huwa hapati!
Namungo wenyewe ni tawi mojawapo la kolo likifadhiliwa na waziri mkuu ambae ni mwanachama hai wa kolo, kesho wanacheza na Simba lakini akuna ahadi yoyote iliyotolewa ili wapate ushindi but ikicheza na yanga ahadi uwa ni za kumwaga!
Tunakwenda kushuhudia kile tulichokishuhudia kule tabora,,aitokuwa mechi bali uchafu!
Kwa maana iyo Kila timu ishinde mechi zake na wale wabwekaji wafunge mabakuri yao akuna kucheka na kima sasa hivi ukitumia panga tunatumia shoka,,bampa to bampa mpaka kitaeleweka!
Kwani utetezi wenu unaushahidi au hisia? Tatizo lenu tunafikiri kana nyie lwa kuongozwa na hisia mnasema tunakosea.Yaani ndiyo utetezi wako huu?
Wakamfungie mhindi wenu kwanza anayefanya biashara ya kununua marefa wakina Tatu malogoGame katikati ya uwanja ndio huwa inatoa picha kamili, utopolo na jiiesiemu wanaharibu mpira wa bongo,nashauri jiiesiemu wafungiwe kutoa uzamini na kujihusisha na soka
Ndio nasema Kila timu ishinde mechi zake mambo ya kubweka bweka kama mbwa atutaki🤣 Kwani ligi ya tz ilianza kubadilika lini boss… ligi ya tz tunaijua huo ndo mwenendo wenu…coz team zote zinazo shiriki ligi kuu tz watu wao ni mashabiki wa hizi team mbili za K/koo, leo unasema hivi wakati haijawai badilika buda… cha msingi kila mtu ana tawi lake ikifika wakati wa simba waongee na watu wao kwenye team husika ikifika wakati wa ya ga pia wafanye ivyo coz soccer lenu mnalijua wenyewe.
Kwani Coastal hajatoka sare na Simba msimu huu? Hizo ni hisia au facts? Eti wafungaji wa Coastal walijipigia kimasikhara halafu unasema tunatumia hisia.Kwani utetezi wenu unaushahidi au hisia? Tatizo lenu tunafikiri kana nyie lwa kuongozwa na hisia mnasema tunakosea.
Yaani huo utetezi uonavyo kituko ndivyo sisi tunavyo wanna na kelele zenu zinazo ongozwa na hisia.
Simba haina huo upuuzi,na ndiomaana mashabiki wa yanga kwenye mabanda ya mpira mtaani,siku ya game ya simba wanajaa sana,tofauti ikicheza utopolo kunakuwa hamna mwenye muda wakuangalia maigizoWakamfungie mhindi wenu kwanza anayefanya biashara ya kununua marefa wakina Tatu malogo
Ubora unaamua usitake kulazimisha unachokitaka wewe akilini mwako,,ndio maana mnalazimisha kumpangia kocha wa singida kikosi chake nyie mmekuwa nani? Yani mambo ya kiufundi ya kocha mumpangie nyie eti kwakuwa tu amtaki yanga ishinde,,ovyo kabisa🚮🚮🚮Mnalazimisha kubalance tuhuma ila mnajidhalilisha tu.
Msimu wa juzi Namungo alisitisha mbio za ubingwa za Simba kwa kulazimisha sare. Msimu uliopita Namungo alisitisha mbio za kuwania nafasi ya pili za Simba kwa kumfunga. Coastal kalazimisha sare katika msimu huu ulio tight ambao kila point ni muhimu.
Haya tuambieni, ni lini moja ya tawi la GSM liliwahi kuifunga chura au hata kulazimisha tu sare?
Fact ambazo hazina ushahidi zenye hisia unaziita fact au kwa sababu zinakufurahisha wewe.Kwani Coastal hajatoka sare na Simba msimu huu? Hizo ni hisia au facts? Eti wafungaji wa Coastal walijipigia kimasikhara halafu unasema tunatumia hisia.
Namungo hakulazimisha sare mwishoni mwa msimu wa juzi na kusitisha mbio za ubingwa za Simba? Hizo ni hisia au facts?
Azam haijatoka sare mara kibao tu na kuifunga simba misimu ya hivi karibuni na hata kuitoa kwenye FA Cup? Hizo ni hisia au facts?
Narudia kwa mara nyingine, tupe mfano wa hata mmoja wa tawi la GSM kuifunga au kutoka sare na Yanga.
Kwakuwa wewe ni miongoni mwa wale aliowataja Rage Wala sishangai kwa ulichokisemaSimba haina huo upuuzi,na ndiomaana mashabiki wa yanga kwenye mabanda ya mpira mtaani,siku ya game ya simba wanajaa sana,tofauti ikicheza utopolo kunakuwa hamna mwenye muda wakuangalia maigizo
Ukweli unauma siku zote,acheni maigizo mnaharibu ligi yetu utopolo!Kwakuwa wewe ni miongoni mwa wale aliowataja Rage Wala sishangai kwa ulichokisema
Duh kwa hiyo unataka ushahidi wa hayo matokeo. Haya ndiyo unaita matawi ya Simba?Fact ambazo hazina ushahidi unaziita fact au kwa sababu zinakufurahisha wewe.
Ni hivi pale tff Kuna sanduku la maoni pelekeni kule sisi atuna msaada na nyie,,mtaendelea kubweka hapa kama amnazo na tunasema mlianza tutamalizaUkweli unauma siku zote,acheni maigizo mnaharibu ligi yetu utopolo!